Sasa ni muda mwafaka kwa makampuni ya mafuta na gas kuingizwa kwenye Dar Stock Exchange

Jan 27, 2015
50
70
Salaaam wanajamvi!
Mimi kama ilivyo ada thread zangu ni chache lakini inalenga mule mule......
Ni muda sasa maswala ya uchakachwaji mafuta na ukwepaji kodi limekithiri hapa nchini na kuletea uharibifu wa magari na uchumi kuumia.

Hivo basi kumaliza tatizo ili Mh.Rais amrisha waziri wa fedha awape owners wote wa makampuni haya muda wa kuingia kwenye Dar es salaam stock exchange ili ku- enhence transparency kwenye ulipaji kodi, na uboreshaji mafuta ya magari.
Asante.
 
Vyuma vimekaza kila mtu anakufa na chake hii nchi inapotea sio ccm wala chadema wanaweza ikomboa inaumiza sana....
 
Tumeshindwa kununua shares za vodacom, leo tujaribu kununua za kampuni za gesi na mafuta?
 
Hii nchi ya ajabu sana. Vitu vya muhimu vinaonekana kama sio vya msingi. Wewe Gas na mafuta yanaatumika kwa viwango vya juu, lakini hayapo ktk Soko LA Hisa, wala financial statement yake aijulikani
 
Infact iwekwe Kiwango cha mtaji au kipato kinapofika a certain level iwe ni lazima Kwa kampuni husika kujiunga Ktk stock market Na pia Na ajira zao zifuate professionalism sio kuwa ajira ya kifamilia soko la watu wote
 
Back
Top Bottom