hapana ni Mh. Sugu ndio aliongoza kwa kupigiwa kura nyingi kuliko wagombea wote katika nafasi ya Ubunge na sio Mh. LemaNadhani record hiyo 2015 lema anaweza kuwa ndie mbunge aliyeweka record ya kupigiwa kura nyingi,I don't know 2020,Mambo yatakuwaje kwakwe.Ahadi zake kwa wapiga kura Kama hajazitekeleza,A town inawezekana kabisa kurudi mikononi kwa wapinzani wake.
vitabu vyake ni kama vya ndumilakuwilimwandishi nguli wa vitabu
Muulize pompeo..Hivi Pompeo alimpiga ban kwa kosa gani vile?
In God we Trust
Mkishashiba uwaga mnajiandikia tuBila kupepesa macho naweza kusema sasa macho ya wanakigamboni yanawaangalia wanasiasa vijana wawili Paul Makonda wa CCM na Yericko Nyerere wa CHADEMA kama wagombea watarajiwa wa ubunge.
Mungu awabariki vijana hawa ambao mmoja ni mkuu wa mkoa na mwingine ni mwandishi nguli wa vitabu vya mbinu za ujasusi duniani.
Maendeleo hayana vyama
RC Makonda aagiza hospitali ya manispaa ya Kigamboni ifunguliwe tarehe 01/06/2020!Mkishashiba uwaga mnajiandikia tu
Nashangaa kama kuna mtu anayeweza kumpigia kura bashite, kweli tuna wajinga wengi.Makonda alishajitengenezea mazingira, hivyo ni dhahiri ashakuwa mbunge+
Ni kweli!! Tanzania ni mali ya Ccm hivyo wanaweza kufanya watakalo bila kuulizwa au kuzuiwa.Mgombea yeyote wa ccm atashinda tu. Maana ni kwa nguvu na mabavu tu, lazima washinde.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muulize pompeo..
Muulize pompeo..
Umesahahu kuongezea sifa moja, mteja wake ni jiwe na ndiye mkuu wa malaika.Makonda atashinda Jimbo lolote atakalogombea hata ingekua kongwa kwasababu mteja wake ndiye raisi,ndiye amiri jeshi ,ndiye tume ya uchaguzi na ndiye mahakama
Kwani Dr Ndungulile hagombei?Bila kupepesa macho naweza kusema sasa macho ya wanakigamboni yanawaangalia wanasiasa vijana wawili Paul Makonda wa CCM na Yericko Nyerere wa CHADEMA kama wagombea watarajiwa wa ubunge.
Mungu awabariki vijana hawa ambao mmoja ni mkuu wa mkoa na mwingine ni mwandishi nguli wa vitabu vya mbinu za ujasusi duniani.
Maendeleo hayana vyama
Mkuu Kumbunga,Kwani Dr Ndungulile hagombei?