Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 218,001
Inasikitisha sana lakini hakuna namna yoyote ya kumuacha aishushe daraja timu hii .
Haijulikani amekumbwa na nini lakini kinachofahamika ni kwamba Westham wako kwenye timu 3 za kushuka daraja , na kama wakifungwa nyumbani na Southampton leo , hali itakuwa tete zaidi ( mpaka dk 50 , westham 0 - 1 Southampton )
Haijulikani amekumbwa na nini lakini kinachofahamika ni kwamba Westham wako kwenye timu 3 za kushuka daraja , na kama wakifungwa nyumbani na Southampton leo , hali itakuwa tete zaidi ( mpaka dk 50 , westham 0 - 1 Southampton )