Sasa ni Dhahiri Mbowe ni Mwalimu wa siasa Tanzania

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,343
217,371
BAVICHA_&_CHASO_on_Instagram:_“Enzi_hizo_Lijuakali_hapajui_mjini._%0A%0ALeo_anamtukana_Mwe...jpg

Ukiachilia mbali kwamba Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA , Chama cha siasa kilichoshambuliwa zaidi barani Africa kikifuatiwa na ANC ya Africa Kusini enzi za makaburu , Lakini pia duru za kisiasa za dunia zinamtaja Mbowe kama Mwenyekiti bora wa chama cha siasa kuwahi kuwepo barani Africa tangu kuumbwa kwa Mbingu na Ardhi.

Idadi ya vijana aliowafundisha siasa hakuna ukurasa wa hapa JF unaweza kutosha kuwaandika , wapo waliompongeza na kumheshimu , lakini wapo waliomtukana na kumdhalilisha bila kujali alikowaokota na kuwapa heshima mbele ya jamii , hata hivyo hajawahi kulipa kisasi , Mtu huyu si wa kawaida .

No_Hate_No_Fear_on_Instagram:_“Uongozi_ni_kusikiliza.”%22_.jpg
 
Watanzania ni mabingwa wa kusifia!
Siyo nyie mkizungusha viuno humu kusifia ATCL kupata faida hadi kutoa gawio la bill 60 kwa serikali kuu kumbe ukweli shirika lilikuwa linapata hasara kama hiyo kila mwaka.

Hakuna wa kumcheka mwenzake humu tena hasa nyie wa kijani kibichi ndiyo akili hamna kabisa ni mapambio tu mnaimba humu.
 
Yap,ukiona mwalimu wako anakuchelewesha unamuacha unaenda kwa mwalimu wakukupa mafanikio.
 
Siyo nyie mkizungusha viuno humu kusifia ATCL kupata faida hadi kutoa gawio la bill 60 kwa serikali kuu kumbe ukweli shirika lilikuwa linapata hasara kama hiyo kila mwaka.

Hakuna wa kumcheka mwenzake humu tena hasa nyie wa kijani kibichi ndiyo akili hamna kabisa ni mapambio tu mnaimba humu.
Mapambio au mademka? CCM acha kabisaaa! Yaani sasa hivi mama Samia akisema kuanzia leo ndege zote nauza, kuanzia jumuiya ya wazi, ya kike, ya vijana, ya wazee na vikongwe, ya watoto wao na ya baba zao wooote utasikia "Tunatoa tamko la kumpongeza raisi wetu kipenzi kwa uamuzi wa kizalendo wa kujali maslahi ya taifa kwa kuuza ndege zinazotia hasara".😆😆😆😆😆😆😆😭😭😭😭 Yaani CCM!!! Weka mbali na watoto!!
 
Back
Top Bottom