robinson crusoe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2020
- 740
- 1,214
Maelezo kama haya yanaonesha uko chini sana kwa ufahamu.Masahihisho : Sijaifananisha CHADEMA na ANC , nimesema Chadema ni zaidi ya ANC .
Maelezo kama haya yanaonesha uko chini sana kwa ufahamu.Masahihisho : Sijaifananisha CHADEMA na ANC , nimesema Chadema ni zaidi ya ANC .
Kumbe lijualikali alikuwa hivi!!!! Halafu kanyea kambi!!! Hivi nayeye yuko bungeni?
Ukiachilia mbali kwamba Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA , Chama cha siasa kilichoshambuliwa zaidi barani Africa kikifuatiwa na ANC ya Africa Kusini enzi za makaburu , Lakini pia duru za kisiasa za dunia zinamtaja Mbowe kama Mwenyekiti bora wa chama cha siasa kuwahi kuwepo barani Africa tangu kuumbwa kwa Mbingu na Ardhi.
Idadi ya vijana aliowafundisha siasa hakuna ukurasa wa hapa JF unaweza kutosha kuwaandika , wapo waliompongeza na kumheshimu , lakini wapo waliomtukana na kumdhalilisha bila kujali alikowaokota na kuwapa heshima mbele ya jamii , hata hivyo hajawahi kulipa kisasi , Mtu huyu si wa kawaida .
Acha tudemke mkuu. Sahau ya nyuma. Sasa hivi kudemka kwenda mbele!!!Haa haa ... maisha yanakwenda kasi sana namuona Mama Samia nyuma ya Hitler MUHUTU alietutesa watanganyika.
Ukiachilia mbali kwamba Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA , Chama cha siasa kilichoshambuliwa zaidi barani Africa kikifuatiwa na ANC ya Africa Kusini enzi za makaburu , Lakini pia duru za kisiasa za dunia zinamtaja Mbowe kama Mwenyekiti bora wa chama cha siasa kuwahi kuwepo barani Africa tangu kuumbwa kwa Mbingu na Ardhi.
Idadi ya vijana aliowafundisha siasa hakuna ukurasa wa hapa JF unaweza kutosha kuwaandika , wapo waliompongeza na kumheshimu , lakini wapo waliomtukana na kumdhalilisha bila kujali alikowaokota na kuwapa heshima mbele ya jamii , hata hivyo hajawahi kulipa kisasi , Mtu huyu si wa kawaida .
Niliwahi kusema na leo narudia tena. Pamoja nza mdhaifu mengine ya kibinadamu ambayo kila mtu anayo; Mbowe ni kiongozi makini sana kuwahi kutokea Tanzania. Moja kati ya sifa nyingi za kiongozi bora ni Kutokuwa na "kinyongo" kwa watu wanaokutenda ubaya; watu ambao wewe ndo uliochangia kuwa hapo walipo.
Ukiachilia mbali kwamba Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA , Chama cha siasa kilichoshambuliwa zaidi barani Africa kikifuatiwa na ANC ya Africa Kusini enzi za makaburu , Lakini pia duru za kisiasa za dunia zinamtaja Mbowe kama Mwenyekiti bora wa chama cha siasa kuwahi kuwepo barani Africa tangu kuumbwa kwa Mbingu na Ardhi.
Idadi ya vijana aliowafundisha siasa hakuna ukurasa wa hapa JF unaweza kutosha kuwaandika , wapo waliompongeza na kumheshimu , lakini wapo waliomtukana na kumdhalilisha bila kujali alikowaokota na kuwapa heshima mbele ya jamii , hata hivyo hajawahi kulipa kisasi , Mtu huyu si wa kawaida .
Huu uzushi tulishautupilia mbali , unataka nikueleze waliorekodi haya madudu na studio iliyotumika ?Tatizio unatoa sifa kuliko tunavyomfahamu. Huyu ni kibaka tu kama wengine mtu wa hovyo hovyo tu!
Msikilize akijieleza hapo chini
View attachment 1776217
Source: Freeman Mbowe na Wema Sepetu ndani ya penzi zito
Komenti zinazomsifia Mbowe itakuwa ni yeye mwenyewe Mbowe anajisifia akiwa anakula kitu Nyagi.....
Huyu pimbi alikuwa hajui hata miwani inafananaje?
Gazet litakua limeuza nakala nyingisana
😆😆😆Huyu pimbi alikuwa hajui hata miwani inafananaje?
Hii ndio Tume huru ya uchaguzi wa Tanzania
Taarifa zilizopo ni kwamba wamevunja rekodi ya mauzo tangu kuingia mwaka huuGazet litakua limeuza nakala nyingisana
Kwa tafsiri yako ya kiccmHakika yoyote anaweza kuwa mwalimu maana inategemea anayefundishwa (mwanafunzi) ni nani.
Wapi nimekosea hapo kwa kauli hiyo kama kweli ukinitendea haki.Kwa tafsiri yako ya kiccm
wakati huo nyumbu wanasuta kwanini ziuzweMapambio au mademka? CCM acha kabisaaa! Yaani sasa hivi mama Samia akisema kuanzia leo ndege zote nauza, kuanzia jumuiya ya wazi, ya kike, ya vijana, ya wazee na vikongwe, ya watoto wao na ya baba zao wooote utasikia "Tunatoa tamko la kumpongeza raisi wetu kipenzi kwa uamuzi wa kizalendo wa kujali maslahi ya taifa kwa kuuza ndege zinazotia hasara". Yaani CCM!!! Weka mbali na watoto!!
Hivi huyu jamaa bado yuko Tume ya uchaguzi ?