mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 10,518
- 19,883
Eboo!! Mkuu unasema kweli?Ku
Kuna mtu alishangilia kifo cha magufuli akachinja na mbuzi wakala na wapambe wake
Nasikia nae kafa usiku wa kuamkia leo,
Sasa najiuliza mbona hata muda haujaenda kwa nini afe sasa wakati alihisi ana mkataba na mungu?
Na ni wale wanazi wa chadema.