Sasa ni dhahiri Bungeni kuna kundi la Rais Samia na kundi la Hayati Magufuli. Spika Ndugai awataka wabunge wa CCM kuitisha kikao cha usuluhishi

Mbunge wa viti Maalum Lucy Mayenga amedai leo Bungeni kuwa kuna kundi la wabunge wengi ambao wanamepanga kuhujumu legacy ya Magufuli na kutaka kutenganisha Urais wa Samia na Urais wa Magufuli

Amedai wabunge hao wanamsifia Samia Suluhu kwa lengo la kuonyesha kuwa Maguuli alikuwa akifanya vibaya na tangu awali wanafahamika kuwa walikuwa wakimpinga Magufuli.

Ameongezea watu hao kuwa wanamchonganisha Samia na watu wa Magufuli ambao alikuwa amewapanga na mikakati yao wanaijua

Zaidi unaweza kumsikiliza hapa

Wabunge wengi wamepewa ubunge na Hayati Magufuli bila yeye Leo wasingekuepo bungeni. 2025 watatamani sarakasi zitumike ili washinde ubunge wao
 
Magufuli ni nani asipingwe.

Watu wanampinga Mungu itakua magufuli.

Tatizo magufuli kawatenda wengi sana ndivyo sivyo ndo mana wengi wanampinga.
Waliaminishwa kuwa atatawala milele wakajaa ujinga wa milele.
 
1 Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja.
Mwanzo 11:1

2 Ikawa watu waliposafiri pande za mashariki waliona nchi tambarare katika nchi ya Shinari; wakakaa huko.
Mwanzo 11:2

3 Wakaambiana, Haya, na tufanye matofali tukayachome moto. Walikuwa na matofali badala ya mawe, na lami badala ya chokaa.
Mwanzo 11:3

4 Wakasema, Haya, na tujijengee mji, na mnara, na kilele chake kifike mbinguni, tujifanyie jina; ili tusipate kutawanyika usoni pa nchi yote.
Mwanzo 11:4

5 Bwana akashuka ili auone mji na mnara waliokuwa wakiujenga wanadamu.
Mwanzo 11:5

6 Bwana akasema, Tazama, watu hawa ni taifa moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo wanayoanza kuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudia kulifanya.
Mwanzo 11:6

7 Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao.
Mwanzo 11:7

8 Basi Bwana akawatawanya kutoka huko waende usoni pa nchi yote; wakaacha kuujenga ule mji.
Mwanzo 11:8
AMEN
 
Mbunge wa viti Maalum Lucy Mayenga amedai leo Bungeni kuwa kuna kundi la wabunge wengi ambao wanamepanga kuhujumu legacy ya Magufuli na kutaka kutenganisha Urais wa Samia na Urais wa Magufuli

Amedai wabunge hao wanamsifia Samia Suluhu kwa lengo la kuonyesha kuwa Maguuli alikuwa akifanya vibaya na tangu awali wanafahamika kuwa walikuwa wakimpinga Magufuli.

Ameongezea watu hao kuwa wanamchonganisha Samia na watu wa Magufuli ambao alikuwa amewapanga na mikakati yao wanaijua

Zaidi unaweza kumsikiliza hapa

Hivi kwa nini mnataka system isiwe na umoja.This is an obvious devide and rule technique,ambayo ina nia ovu ya kudhoofisha performance ya Rais aliyeko madarakani.Hata lini mtaendeleza uovu wenu wa kutoitakia nchi yenu mema? Acheni uovu wenu,mwacheni Mama wa watu afanye kazi.Choko choko tuuuu.....!Inakera sana.This is demonic and evil at it's best.
 
Hivi kwa nini mnataka system isiwe na umoja.This is obvious device and rule,ambazo ni harakati ovu za kujaribu ku-stall performance ya Rais aliyeko madarakani.Hata lini mtaendeleza uovu wenu wa kutoitakia nchi yenu mema? Acheni uovu wenu,mwacheni Mama wa watu afanye kazi.Choko choko tuuuu.....!Inakera sana.This is demonic and evil at it's best.
Vip mkuu nasikia wanasema JPM ameuawa, vipi kuna ukweli wowote kuhusu hili?
 
Vip mkuu nasikia wanasema JPM ameuawa, vipi kuna ukweli wowote kuhusu hili?
Hata mimi nasikia,ila kwa kuwa sijaona akiuwawa,siwezi kuthibitisha.Ila inawezekana kauliwa,kwa kuwa alikuwa na maadui wengi sana,wa ndani na nje.
 
Back
Top Bottom