Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,530
- 217,788
Sasa kundi la marehemu linatokana na nini huku mwenyewe hayupo?Spika wa Bunge Job Ndugai amemuagiza Katibu wa wabunge wa CCM Jasson Rweikiza kuitisha kikao cha kamati ya wabunge wa CCM (party caucus) kwasababu ndio mahali wanaweza kudhibitiana..
Nina uhakika Ndugai yuko kundi hilo
Ushahidi huu hapa .