Sasa ngoma droo, wanaume nao kutumia vidonge vya majira!

Labda zitawasaidia wanafunzi kupunguza mimba, inabidi wizara ya elimu inunue igawie wanafunzi wa kiume!
 
duh! wazidi kufanya mautafiti na mungu awaongoze mpaka watakapogundua jinsi ya mwanaume kua na buguza zote zile za wakati wa ujauzito,kupata uchungu wakati mkewe anajifungua na madam ajifungue bila maumivu na mtoto atoke salama,
AMEEEEEEEEEEN
 
Wajitahidi kufanya utafiti ili hata tunapokuwa na mimba vichefuchefu wajisikie wao tu

yaani nadhani Dunia itapendeza kweli

Sasa hapo Haki sawa itakuwa imetendeka kiukweli.
 
Situmii ng'o, kwanza huyo mnigeria mshe............i sana. Uzuri ni kwamba uamuzi wa kutumia hiyo kitu bado uko mikononi mwa wanaume wenyewe, kama ilivyo kwenye issue ya ndom.

Mie nilisikia mwanaume ukitumia hizo dawa kuna hatari ya kupata uvimbe kwenye kiwanda cha kutengeneza sperms. Ni heri kuendelea ni hizi ndom kuliko hizo chemicals ambazo tayari kwa wanawake wengi ni problem kubwa ktk maumbile ya miili yao na via vyao vya uzazi
 
Wajitahidi kufanya utafiti ili hata tunapokuwa na mimba vichefuchefu wajisikie wao tu

yaani nadhani Dunia itapendeza kweli

Sasa hapo Haki sawa itakuwa imetendeka kiukweli.

Unajua mimba na huko kuzaa kwa uchungu kwa wanawake ni adhabu iliyotoka kwa Mungu kwa Eva, kule kuchacharika kwa kidume nayo ni adhabu pia ya adam kutoka kwa Mungu. Kwa hiyo sahau kabisa hiyo kitu madam.
 
Back
Top Bottom