Sasa ndio nimeelewa kauli ya kusema nimesacrifice maisha yangu kwaajili ya Watanzania maskini

Trust me sumu aliyoicha Magufuli bado ipo ni baada ya miaka kumi mpaka kumi na tano itadhihirika.

Aliifundisha falsafa yake kwa miaka 5 na miezi 5 ukiachana na wakati wa uwaziri wake ambapo alisimamia viwanja vya ndege, Barabara ya lami Dsm to Mtwara n.k

Vituo vya kupimia uzito na barabara za ndani ya mji wa Dsm kasimamia akiwa waziri mpaka kuwa Rais

Binafsi huwa naona walichelewa kumkata upepo kwa hizi project tatu kwa kuwa alizianza. Project ya umeme, reli ya kati, hamasa ya kufundisha uzalendo juu ya nchi na kutetea watu masikini licha ya kuwa walimpakazia hataki matajiri ili hali alitaka matajiri wasio wanyonya na kudhulumu watu masikini.

Kazi ya Dkt. JPM ipo kwenye mioyo ya watu haswa wenye maisha ya kawaida na kati nimepita sehemu nyingi watu wakiona picha yake huwa wanasema hivi "Alikua mwanaume"

Binafsi najua hakutaka upinzani ili apoteze muda wa kubishana alitaka kazi na kushauriana maendeleo(hapa ndipo wengine waliona hataki kushauriwa na kukosolewa kumbe aliwaza akitimiza hayo watanzania wata anza kujitegemea kiuchumi)

Bahati mbaya project zake zilihitaji aishi zaidi ya ile siku aliyopangiwa atuache bila kujua ilikua hiari yake, Mungu au maadui ndio walipanga isipokuwa siku ya kumuaga kijazi alivyodiriki kusema hata yeye anaweza kufa nilihisi kifo chake kinaweza kutokea lakini nilijua ni raisi isingewekana lakini Mungu ndio mpangaji asipotaka ufe hata kama adui kakudumbukiza baharini na jiwe utatoka ila haya yote ni Siri ya muumba.

Kisha umaliza mwendo, bei za vifaa vya ujenzi ni hatari kikubwa matumaini tunayopata na mageuzi ya muda mfupi mengine tuyape muda

Lala salama Dkt .John Pombe Magufuli
 
Trust me sumu aliyoicha Magufuli bado ipo ni baada ya miaka kumi mpaka kumi na tano itadhihirika.

Aliifundisha falsafa yake kwa miaka 5 na miezi 5 ukiachana na wakati wa uwaziri wake ambapo alisimamia viwanja vya ndege,Barbara ya lami dsm to mtwara n.k

Vituo vya kupimia uzito na barabara za ndani ya mji wa dsm kasimamia akiwa waziri mpaka kuwa raisi.

Binafsi huwa naona walichelewa kumkata upepo kwa hizi project tatu kwa kuwa alizianza.. Project ya umeme, reli ya kati ,hamasa ya kufundisha uzalendo juu ya nchi na kutetea watu masikini licha ya kuwa walimpakazia hataki matajiri ili hali alitaka matajiri wasio wanyonya na kudhulumu watu masikini.

Kazi ya dkt. JPM ipo kwenye mioyo ya watu haswa wenye maisha ya kawaida na kati nimepita sehemu nyingi watu wakiona picha yake huwa wanasema hivi " Alikua mwanaume"


Binafsi najua hakutaka upinzani ili apoteze muda wa kubishana alitaka kazi na kushauriana maendeleo(hapa ndipo wengine waliona hataki kushauriwa na kukosolewa kumbe aliwaza akitimiza hayo watanzania wata anza kujitegemea kiuchumi)

Bahati mbaya project zake zilihitaji aishi zaidi ya ile siku aliyopangiwa atuache bila kujua ilikua hiari yake, Mungu au maadui ndio walipanga isipokuwa siku ya kumuaga kijazi alivyodiriki kusema hata yeye anaweza kufa nilihisi kifo chake kinaweza kutokea lakini nilijua ni raisi isingewekana lakini Mungu ndio mpangaji asipotaka ufe hata kama adui kakudumbukiza baharini na jiwe utatoka ila haya yote ni Siri ya muumba.

Kisha umaliza mwendo, bei za vifaa vya ujenzi ni hatari kikubwa matumaini tunayopata na mageuzi ya muda mfupi mengine tuyape muda .


Lala salama Dkt .John Pombe Magufuli.
Ukiwa kwenye vyama vya Siri siku yako ya kufa au zamu yako kutolewa kafara au mkataba mlioingia ukimalizika wanakuambia siku ya kufa. Hivyo unajiandaa.
Mungu huwa haruhusu kamwe mtimiza ndoto wake afe.
 
Inawezekana hata yeye alikuwa anapiga pesa ila kuna mirija aliiziba na ndiyo nafikiri ni moja ya tafsiri ya kusacrifice, ukiangalia sasa hivi hali ilivyo unaona kabisa mirija imefunguliwa yani shamba la bibi wote tule.
 
Kabisa. Tutamkumbuka sana Mh. John Pombe Magufuli.
Ni moja ya viongozi waliokuwa wanamjua Mungu. Na alikuwa na kiona mbali.
Nami nakumbuka baadhi ya kauli zake:
  • Matajiri wataishi Kama mashetani.
  • Laleni na mavi yenu ndani.
  • Ukichagua mpinzani sahau maendeleo.
  • Mtalimia meno.
  • Mimi ni jiwe, sijaribiwi (wakati wa kuomba kura awam ya kwanza alipiga magoti)
  • etc etc
 
Jpm hatapatikana hapa Tanzania tena, watu wanapewa course za ufisadi badala ya uzalendo.

Baada ya miaka miwili ijayo hali itakuwa mbaya sana.

Mawaziri walimuogopa na hawakuwa na uhuru wa kujiamria ujinga usio na faida kwa taifa.
 
Hakuna kiongozi yoyote ambaye amewai kusacrifice maisha yake kwa ajili ya hii nchi na wananchi wake. Mambo mengine ni kauli tu za wanasiasa kwasababu toka enzi za mwalimu hadi leo shida ni zile zile na zinazidi kuongezeka. Sasa hiyo sucrifice ilikua kwenye jambo gani genuine kwa ajili ya nchi na wananchi wa sasa na vizazi vijavyo.
 
Biased statement.
CAG alipohoji matumizi yasiyoeleweka ya shilingi 1.5 trilioni aliishia kupokwa kibarua chake kinyume na taratibu za uteuzi wake. Mpaka kesho hatujui zilielekezwa wapi zile pesa.

hujui zilielekezwa wapi hizo ndege 11 unapanda unafikiri alipewa bure?
 
Makamba tangu aingie TANESCO ni mwendo wa mikataba tu ... mama haelewi kinachoendelea akiamka kumekucha
 
Yesu alisacrifice ili wewe usamehe mazambi otherwise Yale maazabu ya Mungu ya Moto mafuriko ya nuhu yangeendelea ,nikujibu JPM alijua kumnyang'anya mtu tonge anaweza kukuua kwa njia yoyote
 
Ndugu zangu

Sasa ndio nimeelewa kauli ya kusema nimesacrifice maisha yangu kwaajili ya watanzania maskini.

Nimeelewa hivi kiongozi kusacrifice maisha yake kwaajili ya watanzania ni kitendo cha kutumia fedha zote za umma kuijenga Tanzania na kukataa kushirikiana na viongozi wenzake wenye nia ya kuiba, kudhulumu, kuhujumu na kufisadi mali na fedha za umma.

Mtanzania mwenzangu wewe unaelewaje.

Tafadhali toa maana yako.
Huu uzi sio kwaajili ya kuwasema watu bali ni uzi, tunataka tupate maana ya kusacrifice maisha maana yake nini. Kila mmoja ajikite kwenye kutoa maana badala ya kuwasema watu.
Hakika kbsa na akaongezea kusema walidhani ntakuwa kama wao au ntakuwa miongoni mwao.
 
Kama kulikuwa na ufisadi unadhani hawa wanaochafua legacy ya mzee wangemnyamazia.... acheni kuokota maneno ya mtaani... ni siku tu utaambiwa ulipie hiyo hewa unayovuta ndo utaelewa kuwa upo kwenye sayari gani...

He was the true Son of Africa, the Hero
Acha kuleta kichefuchefu. 1.5T ziko wapi?
 
Ndugu zangu

Sasa ndio nimeelewa kauli ya kusema nimesacrifice maisha yangu kwaajili ya watanzania maskini.

Nimeelewa hivi kiongozi kusacrifice maisha yake kwaajili ya watanzania ni kitendo cha kutumia fedha zote za umma kuijenga Tanzania na kukataa kushirikiana na viongozi wenzake wenye nia ya kuiba, kudhulumu, kuhujumu na kufisadi mali na fedha za umma.

Mtanzania mwenzangu wewe unaelewaje.

Tafadhali toa maana yako.
Huu uzi sio kwaajili ya kuwasema watu bali ni uzi, tunataka tupate maana ya kusacrifice maisha maana yake nini. Kila mmoja ajikite kwenye kutoa maana badala ya kuwasema watu.
madikteta huwa wana kauli nzuri sana za kuwafariji wale wanaowatawala.

mobutu seseko na iddi amini dada walikuwa na kauli nzuri sana kwa watu wao kuzidi hata huyo shujaa wako aliyezikwa kule chato.


kuna wakati dikteta kijana na katili kim jong un wa north korea, aliwahi kutoa machozi ya kuonyesha uzalendo kwa nchi yake wakati analihutubia taifa.

https://youtu.be/exI0FEubxO0
 
Trust me sumu aliyoicha Magufuli bado ipo ni baada ya miaka kumi mpaka kumi na tano itadhihirika.

Aliifundisha falsafa yake kwa miaka 5 na miezi 5 ukiachana na wakati wa uwaziri wake ambapo alisimamia viwanja vya ndege,Barbara ya lami dsm to mtwara n.k

Vituo vya kupimia uzito na barabara za ndani ya mji wa dsm kasimamia akiwa waziri mpaka kuwa raisi.

Binafsi huwa naona walichelewa kumkata upepo kwa hizi project tatu kwa kuwa alizianza.. Project ya umeme, reli ya kati ,hamasa ya kufundisha uzalendo juu ya nchi na kutetea watu masikini licha ya kuwa walimpakazia hataki matajiri ili hali alitaka matajiri wasio wanyonya na kudhulumu watu masikini.

Kazi ya dkt. JPM ipo kwenye mioyo ya watu haswa wenye maisha ya kawaida na kati nimepita sehemu nyingi watu wakiona picha yake huwa wanasema hivi " Alikua mwanaume"


Binafsi najua hakutaka upinzani ili apoteze muda wa kubishana alitaka kazi na kushauriana maendeleo(hapa ndipo wengine waliona hataki kushauriwa na kukosolewa kumbe aliwaza akitimiza hayo watanzania wata anza kujitegemea kiuchumi)

Bahati mbaya project zake zilihitaji aishi zaidi ya ile siku aliyopangiwa atuache bila kujua ilikua hiari yake, Mungu au maadui ndio walipanga isipokuwa siku ya kumuaga kijazi alivyodiriki kusema hata yeye anaweza kufa nilihisi kifo chake kinaweza kutokea lakini nilijua ni raisi isingewekana lakini Mungu ndio mpangaji asipotaka ufe hata kama adui kakudumbukiza baharini na jiwe utatoka ila haya yote ni Siri ya muumba.

Kisha umaliza mwendo, bei za vifaa vya ujenzi ni hatari kikubwa matumaini tunayopata na mageuzi ya muda mfupi mengine tuyape muda .


Lala salama Dkt .John Pombe Magufuli.
Umenena vyema mkuu mzee kaacha pengo hakuna wakuliziba hata wakimchafua kazi zake zitamsafisha
 
Back
Top Bottom