Sasa nakaribia mjini,mwenye salam za mwisho ukiacha nilizonazo anipe kabisa,mwenye barua,zawadi kwa mjomba,mwenye maswali wakati ndio huu tafadhali,mkisikia BOOOOOM mjue ntakua nimefika.....My take:Mrisho mpoto atakuja na nini?hayo maneno yake kwenye ukurasa wake wa face buku