Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Uchaguzi wa mwaka 2010 umekuwa somo kubwa sana katika maisha yangu.
Baada ya kuishi miaka 30(umri wangu) katika maisha ya mazoea na kukata tamaa, sasa nina amini nchi hii kuna watu wanaoweza kuwaamsha Watanzania na kuleta mageuzi ya kisiasa na kiutawala yanayoweza kuleta uwiano wenye usawa kimaisha katika jamii.
Jamii nyingi za Watanzania hasa vijijini ni masikini, na wengi wanadhani kuwa Mungu aliwaumba kuwa masikini na hawajui kazi ya viongozi wa kisiasa.
Ki ufupi ni kwamba ninatangaza kupitia jamii forums kuwa Ninajiunga na Chadema Rasmi.
2005 nilikipigia kura nikiwa namtambua Mbowe(Freeman).
Zito kabwe nilianza kumsikia kwenye sakata la Amina Chifupa (marehemu) kupitia magazeti ya Udaku.
Nilishtuka pale nilipojua kuwa kumbe hata Professa Gwiji la Siasa za Kimataifa, Mwesiga Baregu naye pia ni mwanachama wa chama hiki makini.
Heshima kwa Mzee Mtei.
Heshima kwa Wibroa Slaa (PhD)
Heshima kwa mwana harakati Tundu Lisu
Heshima kwa Mpiganaji Rastafarai Chacha Zakayo Wangwe (Mungu Amlaze mahala pema)
Heshima kwa Damu ya Nyerere (Vincent Nyerere, Leticia).
Watanzania Wenzangu.
Hakuna haja ya kupigana. Hakuna haja ya kutamani kufa.
Ukombozi wa chi hii upo karibu.
Matokeo ya Mwaka 2010 nimeyavulia kofia.
Sasa Tuanze na Operation Nyangumi. Twende Vijijini. Tukawaamshe
Baada ya kuishi miaka 30(umri wangu) katika maisha ya mazoea na kukata tamaa, sasa nina amini nchi hii kuna watu wanaoweza kuwaamsha Watanzania na kuleta mageuzi ya kisiasa na kiutawala yanayoweza kuleta uwiano wenye usawa kimaisha katika jamii.
Jamii nyingi za Watanzania hasa vijijini ni masikini, na wengi wanadhani kuwa Mungu aliwaumba kuwa masikini na hawajui kazi ya viongozi wa kisiasa.
Ki ufupi ni kwamba ninatangaza kupitia jamii forums kuwa Ninajiunga na Chadema Rasmi.
2005 nilikipigia kura nikiwa namtambua Mbowe(Freeman).
Zito kabwe nilianza kumsikia kwenye sakata la Amina Chifupa (marehemu) kupitia magazeti ya Udaku.
Nilishtuka pale nilipojua kuwa kumbe hata Professa Gwiji la Siasa za Kimataifa, Mwesiga Baregu naye pia ni mwanachama wa chama hiki makini.
Heshima kwa Mzee Mtei.
Heshima kwa Wibroa Slaa (PhD)
Heshima kwa mwana harakati Tundu Lisu
Heshima kwa Mpiganaji Rastafarai Chacha Zakayo Wangwe (Mungu Amlaze mahala pema)
Heshima kwa Damu ya Nyerere (Vincent Nyerere, Leticia).
Watanzania Wenzangu.
Hakuna haja ya kupigana. Hakuna haja ya kutamani kufa.
Ukombozi wa chi hii upo karibu.
Matokeo ya Mwaka 2010 nimeyavulia kofia.
Sasa Tuanze na Operation Nyangumi. Twende Vijijini. Tukawaamshe