mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
Andiko limekaa vizuri na linavutia nakushawishi sana. Na pia kwakuwa HISIA za mwanzo alizotoa mleta uzi zimekuwa kweli kwa Lowasa kutemwa ndio maana wavivu wakushughulisha AKILI zao wanatoa Pongezi kwa Mleta UZI.
But jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza.
heshma Sana, mibongo mijinga