simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Jamaa amenikumbusha mwandishi wa habari aliyemvurumishia Kiatu Bush. Kiatu kile nasikia kimeuzwa bei mbaya kweli.
Nawashangaa wanaomshabikia muhuni.
Kama nakumbuka vizuri kuna siku nilisoma kwenye gazeti kuwa alifariki akiwa jela. Sina uhakika sana na hili. Back to the point huyu alitaka kujitafutia umaarufu wa kijinga, naunga mkono aliyemwita muhuni
Ina maana aliona jei kei HAFAI
Nawashangaa wanaomshabikia muhuni.
Nawashangaa wanao wa support MAFISADI.Nawashangaa wanaomshabikia muhuni.