Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 5,798
- 13,042
- Thread starter
- #201
Umeamua na kunena vyema.Maziwa kibao nakamua tu, kwanini nifuge ng'ombe ?
#YNWA
Umeamua na kunena vyema.Maziwa kibao nakamua tu, kwanini nifuge ng'ombe ?
Ninahisi hujawahi kuingia kwenye ndoa (samahani sana kama nitakukwaza).Love is a beautiful thing created by GOD, who finds a wife/Hubby find a good thing.
Usiwapotoshe wenzako wakapata doubt kuhusu ndoa kisa hiyo ndoa ya jamaa yako inayoonesha wamejaa viburi + dharau.
Waafrika ndio tunaevolve kwenye hii ishu ya ndoa, na imani zetu za kidini zitatugharimu sana...acha mipasho,jamaa kaandika mambo yanayoleta shida kwenye ndoa nyingi. Walio kwenye ndoa wajitafakari. Kila ukipewa stori za ndoa,nyingi hazitofautia sana ni shida tu