Sasa mmefurahi?

Bi. Senti 50

JF-Expert Member
Apr 17, 2007
290
12
Samahani kwa kupotea lakini mambo ambayo yametokea wiki iliyopita ni sehemu tu ya sababu hiyo. Binafsi na watu wengine ofisini tumekuwa na wakati mgumu, na sasa tunalazimka kuanza mahusiano na kiongozi mpya.

Kuna watu waliokuwa wanataka sana Lowassa aondoke na kutumia magazeti na vijembe visivyo na msingi hilo limekuwa kweli. Hawa ndio waliosababisha hali ya wasiwasi nchini na mashaka kama alivyoeleza Rais leo.

Binafsi nawauliza nyinyi mlioataka Lowassa aondolewa sasa mmefurahi? Ni nini kitawazuia kutotaka na kichwa cha Pinda au kiongozi mwingine yoyote? Hivi kuna kiongozi anayeweza kuwaridhisha? (Na hapa kuna mtu ambaye jina lake sitalitaja tena anayejifanya ni mzalendo kupita wote!).

Nilikuwepo wakati wanamuombea mzee usiku ule baada ya kujiuzulu. Sijawahi kumuona akilengwa na machozi hadi siku ile. Very humbling.

Haya nitawaona nikiwaona tena maana hatujui wengine tutaishia wapi.

Asanteni.
 
Samahani kwa kupotea lakini mambo ambayo yametokea wiki iliyopita ni sehemu tu ya sababu hiyo. Binafsi na watu wengine ofisini tumekuwa na wakati mgumu, na sasa tunalazimka kuanza mahusiano na kiongozi mpya.

Kuna watu waliokuwa wanataka sana Lowassa aondoke na kutumia magazeti na vijembe visivyo na msingi hilo limekuwa kweli. Hawa ndio waliosababisha hali ya wasiwasi nchini na mashaka kama alivyoeleza Rais leo.

Binafsi nawauliza nyinyi mlioataka Lowassa aondolewa sasa mmefurahi? Ni nini kitawazuia kutotaka na kichwa cha Pinda au kiongozi mwingine yoyote? Hivi kuna kiongozi anayeweza kuwaridhisha? (Na hapa kuna mtu ambaye jina lake sitalitaja tena anayejifanya ni mzalendo kupita wote!).

Nilikuwepo wakati wanamuombea mzee usiku ule baada ya kujiuzulu. Sijawahi kumuona akilengwa na machozi hadi siku ile. Very humbling.

Haya nitawaona nikiwaona tena maana hatujui wengine tutaishia wapi.

Asanteni.



Swali lako linatia mashaka kidogo.

Unamuuliza nani wanachama/ wageni wa hapa JF ama?
 
Hata Mizengwe Pinda akipinda tutampindua, he will be judged by his performance. Kumkoma nyani giladi kutaendelea kama kawa- without fear or favour.
 
Samahani kwa kupotea lakini mambo ambayo yametokea wiki iliyopita ni sehemu tu ya sababu hiyo. Binafsi na watu wengine ofisini tumekuwa na wakati mgumu, na sasa tunalazimka kuanza mahusiano na kiongozi mpya.

Kuna watu waliokuwa wanataka sana Lowassa aondoke na kutumia magazeti na vijembe visivyo na msingi hilo limekuwa kweli. Hawa ndio waliosababisha hali ya wasiwasi nchini na mashaka kama alivyoeleza Rais leo.

Binafsi nawauliza nyinyi mlioataka Lowassa aondolewa sasa mmefurahi? Ni nini kitawazuia kutotaka na kichwa cha Pinda au kiongozi mwingine yoyote? Hivi kuna kiongozi anayeweza kuwaridhisha? (Na hapa kuna mtu ambaye jina lake sitalitaja tena anayejifanya ni mzalendo kupita wote!).

Nilikuwepo wakati wanamuombea mzee usiku ule baada ya kujiuzulu. Sijawahi kumuona akilengwa na machozi hadi siku ile. Very humbling.

Haya nitawaona nikiwaona tena maana hatujui wengine tutaishia wapi.

Asanteni.

Pole bi 50cents,

Pole kwa kushuhudia mzee mzima uliyekuwa unamuona kama the most ideal leader akianguka. Kitu kilichokufanya uone its humbling for him to cry was nothing rather than to prove that he is also human. We all are human, we always fail to see that and accept it. We accept that fact when we are in deep shit. Our reflex action is to cry.

Uongozi ni dhamana, chezea dhamana poteza uongozi, kumbuka kischovunwa kwa haki kitapotea kwa haki so Lowasssa got what he deserved. Muombeeni apate nguvu za kuhimili mikikimikiki hii kabla hajapelekwa jela kama kweli haki itafuatwa TZ.

Kwanza the guy was very rude and had no regard for anyone. Its a rude awakening for him. The tears you saw was his reckoning day awareness.

Otherwise this should be a lesson to you, me and everyone kuwa kuna kupanda ngazi na kushuka ngazi utofauti ni kwamba ulipandaje hiyo ngazi kwa winchi, kwa mashine au kwa miguu yako maana kutremka kunaweza kwenda taratibu au ndio ukateleza kama mzee mzima ukajikuta huna chako.

Mpe pole. He now has more time on his hands to be a grandfather and a father to his family.
 
Tunasubiri hela zetu zirudishwe ndio tufurahi!!

Kuna hizi nyumba ziko sehemu ambazo bei za nyumba ni mbaya sana yaani zinaanzia $950,000/=

Hizi nyumba ziko
SCOTTS VALLEY IN California,U.S.A
SANTA CRUZ IN California.U.S.A
KEY BISCAYNE IN Florida, U.S.A
SLOANE SQUARE IN London,U.K.

Sasa zinaweza zikawa ni za ordinary wabongo lakini huenda zikawa za mafisadi kwa sababu area hizo ni ghali mno.
 
Samahani kwa kupotea lakini mambo ambayo yametokea wiki iliyopita ni sehemu tu ya sababu hiyo. Binafsi na watu wengine ofisini tumekuwa na wakati mgumu, na sasa tunalazimka kuanza mahusiano na kiongozi mpya.

..maisha ndivyo yalivyo. watu wanapoteza wazazi,watoto,n.k!

..baada ya hapo inabidi usonge mbele!

Kuna watu waliokuwa wanataka sana Lowassa aondoke na kutumia magazeti na vijembe visivyo na msingi hilo limekuwa kweli. Hawa ndio waliosababisha hali ya wasiwasi nchini na mashaka kama alivyoeleza Rais leo.

..mapenzi na uzalendo wa nchi yao ndio uliokuwa unawasukuma!

..aliyesababisha hali ya wasiwasi anafahamika,tena kama unaweza mwambia, mweleze "asijaribu tena",hatupendi kuwa kama kenya!

Binafsi nawauliza nyinyi mlioataka Lowassa aondolewa sasa mmefurahi? Ni nini kitawazuia kutotaka na kichwa cha Pinda au kiongozi mwingine yoyote? Hivi kuna kiongozi anayeweza kuwaridhisha? (Na hapa kuna mtu ambaye jina lake sitalitaja tena anayejifanya ni mzalendo kupita wote!).

..mbona yashaisha hayo bibie. tusonge mbele!

Nilikuwepo wakati wanamuombea mzee usiku ule baada ya kujiuzulu. Sijawahi kumuona akilengwa na machozi hadi siku ile. Very humbling.

..mwanguko wowote unatia huruma. believe me!

Haya nitawaona nikiwaona tena maana hatujui wengine tutaishia wapi.

..usitupige fiksi. tanzania tamu! you should know better!
 
Kuna hizi nyumba ziko sehemu ambazo bei za nyumba ni mbaya sana yaani zinaanzia $950,000/=

Hizi nyumba ziko
SCOTTS VALLEY IN California,U.S.A
SANTA CRUZ IN California.U.S.A
KEY BISCAYNE IN Florida, U.S.A
SLOANE SQUARE IN London,U.K.

Sasa zinaweza zikawa ni za ordinary wabongo lakini huenda zikawa za mafisadi kwa sababu area hizo ni ghali mno.


..mh!zinahusiana na hii topic nini? mwakyembe ana habari hii?
 
Back
Top Bottom