johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,900
- 141,836
Nimeshangazwa sana na katazo la mke wa RC kuingia nchini Marekani. Yeye binafsi ana kosa gani?!
Naomba Pascal Mayalla na Nyani Ngabu mkuje hapa kunitoa tongotongo.
Nawasilisha!
Naomba Pascal Mayalla na Nyani Ngabu mkuje hapa kunitoa tongotongo.
Nawasilisha!