Hahahaha..utasikia wiki ijayo ndo mtajua vyuo mlivyopangiwa ......Ndo leo sasa tarehe 25 mwezi wa tisa na sasa ni saa tatu kasoro asubuhi,
Duh yani mi nshaachoka jaman om akufaiiii jia inawakaaaaa duhYa bado kaka
Na soon after kumalizaa chuo maisha yatakuwa magumu zaidi ya sasa na jua litakuwa kali zaidi. .Duh yani mi nshaachoka jaman om akufaiiii jia inawakaaaaa duh
Thanks kwa ushauri but all in all tuzidi kumwomba MunguuNa soon after kumalizaa chuo maisha yatakuwa magumu zaidi ya sasa na jua litakuwa kali zaidi. .
Ukifanikiwa kupata Mkopo jitahidi kutumia vizuri
Sawa let us waittarehe 2 October ndo mzigo unatema acheni kupenda tetesi