Wadau account yangu ya udom nikingia naambiwa nimekosea username au password
mkuu hata sio tatzo lako ht mm ni hvo hivo
Kumbe sipo mwenyewe da watakua wanashida kwenye system yaoudom system yao mbovu balaa hata mimi imenitokea hivyo ila kuna namba wamewetu itabidi tuwapigie tu
Mzeee unasoma uzi kama editor hatariIjumatatu=Jumatatu (umerudia mara mbili)
Kama kweli watatangaza waliopata multiple selections kabla ya tarehe 2.10.2017 watakuwa watu wa ajabu sana sana kwani baadhi ya waombaji watafahamu wamechaguliwa na baadhi watakuwa hawana taarifa kama wamechaguliwa au wame kosa. Kwangu mimi hicho ni kitu cha ajabu chenye utata mkubwa. Inatakiwa selections zote zitoke wakati mmoja na wale wenye multiple selections ndo wapewe muda wa kuamua waende wapi. Hivyo nina wasi wasi na source yako.
Poa poaNiliwapgiaga simu mwanzon mwa mwez huu wakanimbia hivyo xo tusubirie mkuu
Mtoa maada kadanganywa hicho kitu kikitokea naomba nipelekwe kusikojulikanaIjumatatu=Jumatatu (umerudia mara mbili)
Kama kweli watatangaza waliopata multiple selections kabla ya tarehe 2.10.2017 watakuwa watu wa ajabu sana sana kwani baadhi ya waombaji watafahamu wamechaguliwa na baadhi watakuwa hawana taarifa kama wamechaguliwa au wame kosa. Kwangu mimi hicho ni kitu cha ajabu chenye utata mkubwa. Inatakiwa selections zote zitoke wakati mmoja na wale wenye multiple selections ndo wapewe muda wa kuamua waende wapi. Hivyo nina wasi wasi na source yako.
Sasa una-confirm wapi? TCU au kwenye chuo unachokitaka? Tatizo ninaloliona ni ku-jam kwa mtandao. Watu wengi wakihitaji kutumia mtandao kwa wakati mmoja mtandao huwa haupatikani. Na kwa vile siku ni chache hilo litakuwa tatizo kubwa sana ' japo ni tatizo la kujitakia. Inawezekana kabisa kutengeneza mfumo wa vyuo vyenyewe kufanya udahili na ukaruhusu wanafunzi kufanya preference zao hata kama ameomba vyuo na kozi mbalimbali.Kwa habari nilizozipata kutoka kwa mmoja wa wahusika wa udahili wa vyuo vikuu 2017/2018 zinadai siku ya tarehe 25/09/2017 jumatatu vyuo vikuu vilivyopokea applications za undergraduate degree zitawasiliana na wanafunzi ambao wamechaguliwa chuo zaidi ya kimoja, lengo likiwa ni ku-clear multiple admissions, zoezi hili limepangwa kudumu kwa siku 3 tu kuanzia tarehe 25/09 mpaka 27/09 na mwanafunzi atatakiwa ku-confirm nafasi yake katika chuo anachopenda kuanza masomo ndani ya huo muda na si vinginevyo.
Chanzo changu cha habari kimedai kuwa mawasiliano hayo yatafanya kupitia emails na application accounts walizofungua wanafunzi wakati wa kufanya maombi.
Hivyo ningependa kuwasihi wale wote ambao wamefanya maombi kwenye vyuo zaidi ya kimoja kuwa macho ndani ya huo muda uliotajwa ili kutopoteza nafasi yako katika unachokipenda,
Ikumbukwe kwamba jumatatu ya tarehe 2/10/2017 ndio siku ambayo vyuo vikuu nchini vinatarajia kutangaza officially majina yote ya wanafunzi waliodahiliwa kwa mwaka wa masomo 2017/2018:
Tunakaribisha maswali, hoja, dukuduku, povu, ushauri, mchango, kukosoa, n.k
Ahsanteni
Hakuna taarifa yeyote rasmikuna uhakika wowote kuhusu hiyo kesho kwamba watatoa majina kwa multiple admission
Sasa aliye toa thread kwann asi tupe taarifaHakuna taarifa yeyote rasmi
Huo ni unafki mkuuNaona madogo mnafurahi mambo ya chuo mkafanye ubishoo na kula starehe manake watoto wa chuo mnakua limbukeni sana na maisha ya chuo mkimaliza na kurudi kitaa hamna mbele wala nyuma
Watu wanajua kinacho endeleaHz taarifa co rasmi!!!
Mana hata ukiingia kwnye website ya tcu hamna jipya kabsa......sa hz habar cjui wanazitoa wap
Kuna watu walianzisha nyuzi zao zikidai kuwa trh 14 watu wangejua vyuo walivopata.....lkn hakukuwa na kitu chochote!!!!!Watu wanajua kinacho endelea