Walishahakikishiwa wapo salamaNingekua JK nigekosa usingizi
jf where we dare talk openly
Inaonekana unawajua waliofanya tukioUnaposaliti nchi na kuanza kutetea wezi wa madini unategemea nini ??
Kazi ya usalama ni kuhakikisha nchi iko salama,
Ukitishia usalama maana yake unatishia ajira zao pia wanalipwa mshahara kwa kazi hiyo.
Kuna haja gani ya kulipa mshahara watu wa usalama wakati hatuna usalama??
Let them do they are job
Na hii siyo kwetu ni duniani kote.
Sent using Jamii Forums mobile app