Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Nini umedhania kuwa itakuwepo hasara?Jana nilisikia nyumba za National Housing kushushwa bei kwa mfano nyumba iliyokuwa imepangwa kuuzwa Tsh. 60 Million itauzwa chini ya Tsh 40 Million. Moyoni nkajiuliza hilo pengo hapo katikati ni hasara kwa nani?
Mku ni kwasabau bei iliyopangwa toka hapo awali imeshuka kutoka Tsh 60 Million mpaka Tsh 40 Million. Huoni kuna hasara kati kati hapo?Kwa Nini umedhania kuwa itakuwepo hasara?
Mtu kama huyo tunasema anasumbuliwa tu na genye mshindo..Watanzania sijui mnataka nini kipindi cha nyuma mlisema nyumba zipo juu, zimeshuka mnataka zipande wakati mnalia maisha magumu.
Kwanini unasema ni hasara? Unajua gharama za kujenga hizo nyumba zilikuwa kiasi gani?Jana nilisikia nyumba za National Housing kushushwa bei kwa mfano nyumba iliyokuwa imepangwa kuuzwa Tsh. 60 Million itauzwa chini ya Tsh 40 Million. Moyoni nkajiuliza hilo pengo hapo katikati ni hasara kwa nani?
Nyumba zikiwa bei juu tabu, zikishushwa bei tabu, Watu kama wewe inatakiwa mpigwe risasi hadharani.
Kwanini unasema ni hasara? Unajua gharama za kujenga hizo nyumba zilikuwa kiasi gani?
Unajuaje kwamba bei ya awali ilikuwa sahihi?Mku ni kwasabau bei iliyopangwa toka hapo awali imeshuka kutoka Tsh 60 Million mpaka Tsh 40 Million. Huoni kuna hasara kati kati hapo?
Mku ni kwasabau bei iliyopangwa toka hapo awali imeshuka kutoka Tsh 60 Million mpaka Tsh 40 Million. Huoni kuna hasara kati kati hapo?