samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,174
Uhalisia wa ujenzi, makazi bora, na ujenzi wa miji ya kisasa chini ya NHC ndio suluhisho pekee ya kuondokana na makazi duni na ujenzi holela kwa watanzania..
NHC ikipewa nguvu na wananchi wakapewa elimu ili mwisho wa siku wote tununue nyumba kupitia NHC with reasonable price kwa loans nafuu za mpaka 20-30yrs... Hili likifanyika basi watanzania wengi wataweza kumiliki nyumba na kuachana na ujenzi holela na mbanano wenye athari kubwa kwenye jamii..
Bado miji yetu imejengwa kiholela, vijumba visivyo na hadhi kutokana na umasikini wa watu wetu..hali imeifanya miji kutovutia na kuonekana uchafu na hata kuipa shida serikali yenyewe kwenye mipango yake mbalimbali..
Katika hili NHC wanaweza kuongezewa nguvu kwenye miradi na NSSF na mifuko mingine + uwekezaji binafsi wa estate agencies lakini msimamizi mkuu anaendelea kubaki NHC kwa maana ya ramani,mifumo na payments process..
NHC ikipewa nguvu na wananchi wakapewa elimu ili mwisho wa siku wote tununue nyumba kupitia NHC with reasonable price kwa loans nafuu za mpaka 20-30yrs... Hili likifanyika basi watanzania wengi wataweza kumiliki nyumba na kuachana na ujenzi holela na mbanano wenye athari kubwa kwenye jamii..
Bado miji yetu imejengwa kiholela, vijumba visivyo na hadhi kutokana na umasikini wa watu wetu..hali imeifanya miji kutovutia na kuonekana uchafu na hata kuipa shida serikali yenyewe kwenye mipango yake mbalimbali..
Katika hili NHC wanaweza kuongezewa nguvu kwenye miradi na NSSF na mifuko mingine + uwekezaji binafsi wa estate agencies lakini msimamizi mkuu anaendelea kubaki NHC kwa maana ya ramani,mifumo na payments process..