Sasa kumekucha domo kweli nimetinga ulingoni

Sasa najua kuna wataalamu wa kugundua not only hisia za ufupisho hata kamwe na tangu hata tangu but hata jinsi unavyoweza kufafanua FJ "FURAHA YA JAMII" Domo kweli kwa maana halisi alivyojitumbukiza (jumuika) kwenye vichwa vya wana JF, kamwe wana JF msidhani ilikuwa ni kuikosea JF maana yake halisi. Data za ukweli ndo msingi mkuu wa kuelimishana ktk hii JF.Mnastahili kutarajia makubwa ya kweli from Domo Kweli.
 
Sasa najua kuna wataalamu wa kugundua not only hisia za ufupisho hata kamwe na tangu hata tangu but hata jinsi unavyoweza kufafanua FJ "FURAHA YA JAMII" Domo kweli kwa maana halisi alivyojitumbukiza (jumuika) kwenye vichwa vya wana JF, kamwe wana JF msidhani ilikuwa ni kuikosea JF maana yake halisi. Data za ukweli ndo msingi mkuu wa kuelimishana ktk hii JF.Mnastahili kutarajia makubwa ya kweli from Domo Kweli.

wjamaa una mbwebwe si mchezo
 
Mambo mazito ya nchi hayahitaji slow moving like snail,kobe alivikwa gamba gumu na maisha marefu yasiyochakachuliwa (kama haki yake ya kuishi itaheshimiwa) kwa kuwa alichelewa kufika.Wajanja walipata ngozi laini na maisha mafupi wahudumie Dunia then watinge kunako sayari nyingine kwa maendeleo mengine.
 
Sasa najua kuna wataalamu wa kugundua not only hisia za ufupisho hata kamwe na tangu hata tangu but hata jinsi unavyoweza kufafanua FJ "FURAHA YA JAMII" Domo kweli kwa maana halisi alivyojitumbukiza (jumuika) kwenye vichwa vya wana JF, kamwe wana JF msidhani ilikuwa ni kuikosea JF maana yake halisi. Data za ukweli ndo msingi mkuu wa kuelimishana ktk hii JF.Mnastahili kutarajia makubwa ya kweli from Domo Kweli.
Duh!
Umenikumbusha enzi za kuuza ujugu, maneno meeengi kuwashawishi wanununuzi.
Dah! Haya bwana, kweli wewe domo kweli :smile-big:
 
Back
Top Bottom