Makinikia Original
Member
- Aug 29, 2017
- 90
- 154
Mbwembwe nyingi za nguli wa sheria Profesa Palamagamba Aidan Mwaluko Kabudi mara tu baada ya kuteuliwa kuchukua nafasi ya uwaziri sasa zimefika tamati.
Hii inaweza kuhusishwa na ugumu wa nafasi aliyopewa, kukosa uwezo au hata ufanisi wa viongozi wake wakuu kwa maana ya Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu.
Toka picha ya makinikia ishindwe kuendelea kutokana na huo huo uwezo wa Profesa Kabudi, leo kaja na hili suala la Airtel na mabilioni ya shilingi.
Najiuliza haya mabilioni kutoka Airtel yanalipwa lipwa kwa misingi ipi au ni zile zile hekaya za Abunuasi.
Kabudi kashindwa ......
Hii inaweza kuhusishwa na ugumu wa nafasi aliyopewa, kukosa uwezo au hata ufanisi wa viongozi wake wakuu kwa maana ya Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu.
Toka picha ya makinikia ishindwe kuendelea kutokana na huo huo uwezo wa Profesa Kabudi, leo kaja na hili suala la Airtel na mabilioni ya shilingi.
Najiuliza haya mabilioni kutoka Airtel yanalipwa lipwa kwa misingi ipi au ni zile zile hekaya za Abunuasi.
Kabudi kashindwa ......