Vita vya nzige.......
Wote mafisadi tu
Achana na Chenge HAVARD yake haimsaidi anafikiri USPIKA utafunika DHAMBI za RADA- akapumzike ale vijisenti vyake aachane kabisa na Bunge la 10 mapafu yake yameisha nguvu ya kupambana na wanaume kama akina LISU- ukweli ni kwamba CHENGE HAJIPENDI KATIKA HILI. LAKINI NISISEME MENGI INAWEZEKANA KATUMWA NA MKUU WA MAFISADI YOU NEVER KNOW WE CAN BE SUPRISED BY CHAMA CHA MAJAMBAZI