Emmanuel_Adam14 JF-Expert Member Dec 25, 2015 670 742 Oct 28, 2018 #2 Picha za hao wanaume waliovaa hizo suruali please!!
C Chifyono JF-Expert Member Oct 16, 2017 921 1,658 Oct 28, 2018 #4 Wanaume wa mkoa mtaacha ushamba lini? Huna uthibitisho kaa kimya
fundi bishoo JF-Expert Member Jun 26, 2018 12,956 22,637 Oct 28, 2018 #5 yaani ilimradi upost tu ndo uridhike au vp
mshipa JF-Expert Member Jun 16, 2015 12,160 22,615 Oct 28, 2018 #6 Weka picha ya mwanaume wa dar aliyevaa hiyo suruali tuone
Malo Robi JF-Expert Member May 16, 2017 322 542 Oct 28, 2018 #8 Ndo mambo ya wanaume wa Dar, sasa sijui pochi la pesa wanaweka wapi!
Pyepyepye JF-Expert Member Jan 6, 2017 1,940 3,825 Oct 28, 2018 #10 Wanaume wa dar wanahips dizain hii?
kilwakivinje JF-Expert Member Jan 4, 2014 5,999 9,089 Oct 28, 2018 #15 Malo Robi said: Ndo mambo ya wanaume wa Dar, sasa sijui pochi la pesa wanaweka wapi! Click to expand... Wanatembea na mikoba ya kike kama kina Ronaldo
Malo Robi said: Ndo mambo ya wanaume wa Dar, sasa sijui pochi la pesa wanaweka wapi! Click to expand... Wanatembea na mikoba ya kike kama kina Ronaldo
Bila bila JF-Expert Member Dec 20, 2016 21,464 37,711 Oct 28, 2018 #16 Ukipigwa usikimbilie polisi maana umeyataka mwenyewe.
Mine eyes JF-Expert Member Apr 11, 2016 6,432 7,092 Oct 28, 2018 #17 ukiona wa hivyo ujuwe wametoka mkoani.. .wakavamia jiji kwa pupa .... yaana..swaga za town wahazujui wana bahatisha tu!
ukiona wa hivyo ujuwe wametoka mkoani.. .wakavamia jiji kwa pupa .... yaana..swaga za town wahazujui wana bahatisha tu!