Sasa hivi kuna suruali za Jeans za kike hazina mifuko lakini wanavaa wanaume wengi wa Dar es Salaam..

tramadol

JF-Expert Member
Oct 10, 2015
5,383
4,317
e8afb0a06241710f0d5ffe646acafcb2.jpg

Dar kuna mambo sana
 
ukiona wa hivyo ujuwe wametoka mkoani.. .wakavamia jiji kwa pupa .... yaana..swaga za town wahazujui wana bahatisha tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom