Minah24
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 1,043
- 1,931
Minah24 habari zilizonifikia dakika 10 zilizopita kutoka katika Mtandao wa Gazeti la Daily Monitor ( Mtandaoni ) la nchini Uganda linasema kwamba Mlimbwende ( Mrembo ) kutoka nchini Uganda ( Miss Uganda ) aitwae Abenakyo ameshinda Taji la kuwa ' Miss World Continental Africa ' ( yaani Mrembo mzuri kuliko wote Barani Afrika. Tuendelee Kumuombe Queen Elizabeth wetu kwani anaweza akashinda Kipengele cha ' Wasindikizaji Bora wa miaka yote ya Miss World ' na akarudi na hilo Taji.
Nimejiskia vibaya sana jaman
Watupatie sasa tuzo ya wasindikizaji bora
Big brother Africa skuiz haipo???
Huko ata tunashindaga uku majonzi tu kila mwaka