Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,892
- 33,448
Kwanini bavicha hujiona wanyonge sana kwa wazungu?Faida waliyopata walinzi wa Jiwe ni kuzunguka na kuifahamau mikoa karibu yote ya Tz na kunenepeana kama paka wa bar
Kwanini bavicha hujiona wanyonge sana kwa wazungu?Faida waliyopata walinzi wa Jiwe ni kuzunguka na kuifahamau mikoa karibu yote ya Tz na kunenepeana kama paka wa bar
Pombe Ya Mnazi Haa Inapatikana Hii Mikoa TuNimekumbuka leo ni ijumaa, mleta mada bado yupo kilabuni anachapa mnazi saa hizi.
Buchosa utakua mzinza wewe
Mliokuwa Walinzi wa Baba aliyeondoka imebaki nafasi moja hebu chaguaneni ili Mmoja wenu akawawakilishe huko New York ( Marekani ) kwani wengi wenu mna Uzoefu tu wa Tandahimba, Karagwe na Buchosa.
Kutesa kwa zamu Kudadadeki mtanuna.
Haya..Hizo ni hisia tu ila hakuna clear evidence mkuu.
Ila siyo close bodyguard nadhani hapa alikuwa na majukumu mengine,hayupo inner circle.View attachment 1954321Umemuona Aliyewahi kuwa mlinzi wa Hayati JPM kushoto (Mwenye sigda kwenye paji la uso) naona kuna mabadiliko katika ulinzi wa Mama, wale wanaume wa kazi wameenza kurudishwa moja baada ya mwingine.
Yule bodyguard yu wapi mwenye macho madogo? Huyu sigda naona karudishwa hukuIla siyo close bodyguard nadhani hapa alikuwa na majukumu mengine,hayupo inner circle.
Japo haitashangaza jamaa ni mkongwe kitambo amekuwa kwa PM Pinda awamu ya 4 pia.
Maana kiongozi wao wa kwa Mama sasa hivi alikuwa pia kwa Mzee Pinda kipindi fulani awamu ya 4.
Mkuu tatizo watu wanajifanya wanawajua sana hao watuWewe kama mmoja wa hiyo circle ya ulinzi ulikuwa unakerwa sana na kudharauliwa na wenzako?
Tuachane na hayo. Mlinzi wa raisi kweli anaweza kumaliza mafunzo yake hapahapa mchini bila kutoka nje ya nvhi kuona wenzake wanafanya nini?
Wewe uliyeandika boya kabisa, hujui hizo ndo tozo zetu zinatafunwaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, kesho tarehe 18 Septemba, 2021 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea New York nchini Marekani kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo tarehe 23 anatarajiwa kulihutubia Baraza hilo.
Chanzo: itvtz
Kuna Watu Kumbukumbu yangu inaniambia kama ni Kusafiri sana bali ilikuwa ni Afrika Kusini na Zimbabwe ila Kwingineko (Overseas) watakusikia tu kwa hawa Wenzao wa sasa.
Na kinachouma na mpaka kufanya Mightier niwaonee Huruma Walinzi fulani ni kwamba walikuwa Wakiwadharau mno hawa wa sasa wanaoenda Marekani huku wakisahau kuwa Siku zote aijuae Kesho ni Mwenyezi Mungu pekee.
Kuna Watu Wanne wa Makumbusho najua hivi sasa kwa hili Bata wanaloenda Kula Wenzao ( waliokuwa wakiwadharau ) walipokuwa na Mwamba Sura zao zitakuwa zimenuna mno na Misonyo Kutawala tu mahala walipo kwani asikuambie Mtu New York siyo sawa na Johannesburg ( Gauteng ) au Harare au Dodoma au Tandahimba au Karagwe.
Tuacheni Dharau tukiwa katika Nafasi.
Basi sawa!Hakuna cha kuwashemisha mkuu wanaendelea na majukumu ya kazi kila siku ukibahatika ukapata udso sawa ukishindwa unakaa banch sawa.tunao mtaani walinzi wa marais waliopita mbona kawaida tu.
Posho je? Madem wakal wa umangani! We hayo huyaoni?Wewe kama mmoja wa hiyo circle ya ulinzi ulikuwa unakerwa sana na kudharauliwa na wenzako?
Tuachane na hayo. Mlinzi wa raisi kweli anaweza kumaliza mafunzo yake hapahapa mchini bila kutoka nje ya nvhi kuona wenzake wanafanya nini?
Hahahaha..Pombe Ya Mnazi Haa Inapatikana Hii Mikoa Tu
Tanga
Dar Es Salaam
Morogoro
Pwani
Lindi
Mtwara
Ama Anakunywa Chibuku Inayozalishwa Ubungo Inter Change
Yupo kama kawa,ila hana mgongo safari hii,ana roll vituo mbalimbali PSU.Yule bodyguard yu wapi mwenye macho madogo? Huyu sigda naona karudishwa huku
Asante kwa kunielewesha kuhusu neno UNGA lilikua linanipa tabu kujua manake..kumbe wanalipiwa pia?Sasa mnatakaje, viongozi wasitembee kweli? International relations at the Presidential level watafanyaje? Mtasema Mabalozi watamaliza, sawa lakini na input ya Rais at one level ni muhimu. Halafu kwa upande wa huu Mkutano wa UN General Assembly (UNGA), kuna some costs UN ina lipia. Hivyo isiwe taabu sana.
Kwani walitolewa wote? Siyo wote hlf huyo si unaona kama anaitikadi za zenj? Mama haachi mtu wa zenji burebure tu..wana lugha yaoView attachment 1954321Umemuona Aliyewahi kuwa mlinzi wa Hayati JPM kushoto (Mwenye sigda kwenye paji la uso) naona kuna mabadiliko katika ulinzi wa Mama, wale wanaume wa kazi wameenza kurudishwa moja baada ya mwingine.
Avatar yako ina gaid mkuuBuchosa utakua mzinza wewe
Yaan kamlinda wazir mkuu akastaafu hlf akapandishwa cheo amlinde rais? Wachaaa kwahii hii chen ikoje ya pale makumbusho?Ila siyo close bodyguard nadhani hapa alikuwa na majukumu mengine,hayupo inner circle.
Japo haitashangaza jamaa ni mkongwe kitambo amekuwa kwa PM Pinda awamu ya 4 pia.
Maana kiongozi wao wa kwa Mama sasa hivi alikuwa pia kwa Mzee Pinda kipindi fulani awamu ya 4.
Haaahaaa umenichekesha sana! Wanataka kutoana roho kisa ulinzi wa mama? Wanalupwa sh ngap kwan au ni uzalendo zaid?Mbona mnakerana maafisa vipenyo , ukweli ni kwamba kutesa kwa zamu jamani, muwe wapole tu maisha yaendelee. kazi za ulizi nazo kazi jamani mnataka kutoana roho bureee, hata daiomond naye ana walinzi ni ajira tu wajameni