CHIEF MASALAKULANGWA
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 794
- 646
Lako atalinda nani? Afadhali mwenzako analindwa, wewe je?Analinda kaburi muda huu, kamiss kuku wa ikulu.
Lako atalinda nani? Afadhali mwenzako analindwa, wewe je?Analinda kaburi muda huu, kamiss kuku wa ikulu.
Wewe utalindwa na nani?Lako atalinda nani? Afadhali mwenzako analindwa, wewe je?
Bila shaka ndio hawa hawa wahudumu wa hoteli kubwa kubwa kama ushawahi lala na mmoja wao jua ushalala na mmoja wao 😅
Usiwaogope hawana hatari yoyote ila ni wahuni sana ukibabatika kumnasa mmoja chapa ondoka isilazimishe mapenzi maana mnakuwa mmepangwa mstari.Mkuu ,Nakubali hasa kuna mmoja hivi nilimtokea yuko ifm mara tena nimuone white nyumba simuelew ,nkapungz mawasliano
Na YESU KRISTO ALIYEHAI!Wewe utalindwa na nani?
Sawa sawa ila upunguze wivu kwa vijana wanaomlinda Mh. Samiah SuluhuNa YESU KRISTO ALIYEHAI!
Nani mwenye wivu juu ya hao walinzi!? Naona umechanganya wachangiaji, mimi ni mmoja wa wale wanaowaunga mkono hawa wa sasa na kuwatetea wale wa JPM, kwani kila ZAMA NA KITABU CHAKE. In fact nawapenda sana hasa wale akina dada na yule ADC wa Rais kwani ni POTI! Au siyo!?Sawa sawa ila upunguze wivu kwa vijana wanaomlinda Mh. Samiah Suluhu
Sawa sawa ☑️Nani mwenye wivu juu ya hao walinzi!? Naona umechanganya wachangiaji, mimi ni mmoja wa wale wanaowaunga mkono hawa wa sasa na kuwatetea wale wa JPM, kwani kila ZAMA NA KITABU CHAKE. In fact nawapenda sana hasa wale akina dada na yule ADC wa Rais kwani ni POTI! Au siyo!?
Mama tangu mwanzo aliwajulisha wasaidizi wake kwamba 'bata' lipo pale alipoongelea kwamba haiwezekani nchi yetu ikawa ni sawa na kisiwa.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, kesho tarehe 18 Septemba, 2021 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea New York nchini Marekani kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo tarehe 23 anatarajiwa kulihutubia Baraza hilo.
Chanzo: itvtz
Kuna Watu Kumbukumbu yangu inaniambia kama ni Kusafiri sana bali ilikuwa ni Afrika Kusini na Zimbabwe ila Kwingineko (Overseas) watakusikia tu kwa hawa Wenzao wa sasa.
Na kinachouma na mpaka kufanya Mightier niwaonee Huruma Walinzi fulani ni kwamba walikuwa Wakiwadharau mno hawa wa sasa wanaoenda Marekani huku wakisahau kuwa Siku zote aijuae Kesho ni Mwenyezi Mungu pekee.
Kuna Watu Wanne wa Makumbusho najua hivi sasa kwa hili Bata wanaloenda Kula Wenzao ( waliokuwa wakiwadharau ) walipokuwa na Mwamba Sura zao zitakuwa zimenuna mno na Misonyo Kutawala tu mahala walipo kwani asikuambie Mtu New York siyo sawa na Johannesburg ( Gauteng ) au Harare au Dodoma au Tandahimba au Karagwe.
Tuacheni Dharau tukiwa katika Nafasi.
Mkuu Hebu niambie vijiwe ambavyo naweza kuwapata kwa urahisi namimi nijilie papuchi ya 'Eagle House'Usiwaogope hawana hatari yoyote ila ni wahuni sana ukibabatika kumnasa mmoja chapa ondoka isilazimishe mapenzi maana mnakuwa mmepangwa mstari.
Nikurushie namba za wadada wangapi? MkuuMkuu Hebu niambie vijiwe ambavyo naweza kuwapata kwa urahisi namimi nijilie papuchi ya 'Eagle House'
Hata mbili tu mkuu. Nataka niwakoleze kweli kweli labda namimi watanipa connection niingie hukoNikurushie namba za wadada wangapi? Mkuu