Sasa hapa ndipo waliokuwa Walinzi wa Hayati Rais Dkt. Magufuli wanapoanza Kupigwa Bao taratibu na Kuchekwa na wa Rais Samia

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,748
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, kesho tarehe 18 Septemba, 2021 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea New York nchini Marekani kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo tarehe 23 anatarajiwa kulihutubia Baraza hilo.

Chanzo: itvtz

Kuna Watu Kumbukumbu yangu inaniambia kama ni Kusafiri sana bali ilikuwa ni Afrika Kusini na Zimbabwe ila Kwingineko (Overseas) watakusikia tu kwa hawa Wenzao wa sasa.

Na kinachouma na mpaka kufanya Mightier niwaonee Huruma Walinzi fulani ni kwamba walikuwa Wakiwadharau mno hawa wa sasa wanaoenda Marekani huku wakisahau kuwa Siku zote aijuae Kesho ni Mwenyezi Mungu pekee.

Kuna Watu Wanne wa Makumbusho najua hivi sasa kwa hili Bata wanaloenda Kula Wenzao ( waliokuwa wakiwadharau ) walipokuwa na Mwamba Sura zao zitakuwa zimenuna mno na Misonyo Kutawala tu mahala walipo kwani asikuambie Mtu New York siyo sawa na Johannesburg ( Gauteng ) au Harare au Dodoma au Tandahimba au Karagwe.

Tuacheni Dharau tukiwa katika Nafasi.
 
Wewe kama mmoja wa hiyo circle ya ulinzi ulikuwa unakerwa sana na kudharauliwa na wenzako?

Tuachane na hayo. Mlinzi wa raisi kweli anaweza kumaliza mafunzo yake hapahapa mchini bila kutoka nje ya nvhi kuona wenzake wanafanya nini?
Maswali uliyoniuliza yanaonyesha kuwa unaugua Uwendawazimu na huenda leo umesahau Kunywa ( Kupewa ) Kidonge chako. Pole sana Ndugu.
 
... hivi ataichomeaha Airbus return trip to US ikimsubiri wiki nzima au itatumika Gulfstream au commercial flights?
 
... hivi ataichomeaha Airbus return trip to US ikimsubiri wiki nzima au itatumika Gulfstream au commercial flights?
Mkuu Airbus 220 hainq uwezo wakuruka Direct from Tanzania to USA ila Boeing 787-8 ile ndo inaweza kutoka hapa mpaka USA bila kuweka kituo popote wala kujaza mafuta popote pale.

Kwahiyo tarajia kama sio Boeing basi ni ile ndege ya Rais aliyonunuqgq Hayati Che Mkapa.
 
Naona uliyekuwa Team ya Ulinzi ya Hayati umekuja kwa Hasira zote. Pole sana Wenzenu wa Ulinzi wa Mama leo wanaitafuta New York ( Marekani ) na huko baadae mbeleni wanaweza kuitafuta London ( Uingereza ) vile vile.
kwani wale wa jk wako wapi??au wako naye msoga wanaendelea kupambana!!!

pesa nyepesi haishikiki.
 
Which is better for me, kuliko route za huyu bibi
Naona mliokuwa Team ya Ulinzi wa Hayati mna Hasira na Wivu kweli kweli. Hivi si ndiyo nyie nyie mlikuwa mnawadharau Walinzi Wenzenu wa Mama Kipindi akiwa Makamu? Sasa Wenzenu leo wanaitafuta New York ( Marekani ) Kudadadeki.
 
Niulizie kwa hao waliokuwa Walinzi wa Hayati walishaivuka hata Atlantic au Pacific Ocean? Sasa Wenzao wa Mama ( waliokuwa wakiwacheka na kuwadharau ) leo wanaanza kuitafuta New York ( Marekani ) sawa? Kutesa kwa zamu.
 
wewe kiazi utakuta uko idarani yaani.
Ikiwa ni kweli ( japo siyo kweli ) kuna tatizo Ndugu? Mkiwa na Nyadhifa msidharau wengine kwani hamuwezi kujua Kesho itakuwaje. Mambo yote sasa ni New York ( Marekani ) tu Kudadadeki.
 
Back
Top Bottom