Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,441
- 4,093
ntarudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atii ulkuwa muke ya munyapara mukuu kule kwa geresa ulikuwaMwaka huu lazima uchukue Grammy Awards. Ndio maana Diamond tumbo la kuharisha lilimshika amekimbia South Africa kwenda kujipanga, anajua moto wako wa album uliotoa ni wakuotea mbali.
Kwanza unajua kuvunja mayai, lugha ya malkia haikupigi chenga. Kama nakuona ukitoa speech matata siku unakabidhiwa tuzo za Grammy.View attachment 1771662
I haven't wife, duuuuu......Mwaka huu lazima uchukue Grammy Awards. Ndio maana Diamond tumbo la kuharisha lilimshika amekimbia South Africa kwenda kujipanga, anajua moto wako wa album uliotoa ni wakuotea mbali.
Kwanza unajua kuvunja mayai, lugha ya malkia haikupigi chenga. Kama nakuona ukitoa speech matata siku unakabidhiwa tuzo za Grammy.View attachment 1771662
Kauli za kashfa Kama hii zinakusaidia nini? Unajivutia bad karmaAtii ulkuwa muke ya munyapara mukuu kule kwa geresa ulikuwa
Nimecheka hapo tuI haven't wife, duuuuu......
Afu kumbe MTU mzima 40+ jamani msizuie watoto kucheza udogoni hii ndio athari...Mwaka huu lazima uchukue Grammy Awards. Ndio maana Diamond tumbo la kuharisha lilimshika amekimbia South Africa kwenda kujipanga, anajua moto wako wa album uliotoa ni wakuotea mbali.
Kwanza unajua kuvunja mayai, lugha ya malkia haikupigi chenga. Kama nakuona ukitoa speech matata siku unakabidhiwa tuzo za Grammy.View attachment 1771662
Hapana mkuu confidence ya uharo jamaa anafanya vitu vys kitoto Toto kama ni comedy hana nyota hiyo na age yake na vitu anafanya ni utopolo Mtupu kuna kitu alikosa kwenye malezi sio bureHakika mkuu umeongea point ambayo wengi hawatakuelewa
Tunafeli maisha 7bu ya kutothubutu
Jamaa anauwezo mkubwa wa kuthubutu
Na anasimamia na kukomaa nacho anachokiamini
Ingawa wengi huisi DISHI limeyumba lkn sivyo hii ni kutokana na misimamo yake ambapo ipo tofauti na vijana wengi wa kitanzania
na zaidi jamaa alileta mpk vyeti vya kuthibitisha kuwa yeye yuko sawa
Mfano tafuta animation fulani hivi inaitwa EPICau Soma historia ya huyu Bi dada Jane Goodall Utagundua kitu
Huu ni uchizi weweNingekua na confidence ya huyu jamaa ningekua mbali sana.
Haaaaaaa.....Ningekua na confidence ya huyu jamaa ningekua mbali sana.
Haaaaaa...
Hii ni live show
I haven't youNimecheka hapo tu
Afu kumbe MTU mzima 40+ jamani msizuie watoto kucheza udogoni hii ndio athari...