Alagwa
Member
- May 30, 2012
- 95
- 85
Mwanamke mmoja aliyejitambulisha kuwa Mwenyekiti wa chama cha haki za wasanii (COSOTA) akishirikana na jeshi la polisi wamevamia stationari zilizopo wilayani Mbulu Mkoanai Manyara na kukusanya Computer zote zilizo kuwa zinatoa huduma mbalimbali ndani ya wilaya bila hata ya kujali huduma inayo tolewa katika eneo husika.
Kwa kifupi ni kwamba mwanamke huyo anatembea na zaidi ya askari 5 wakiwa na bunduki na wanachokifanya wakifika mahali wakiona computer wanasema hii computer inakazi zetu bila hata ya kuhakikisha au kukagua wanamlazimisha aliyoko ofisini kubeba computer wanaichukuwa sasa wamechukua hadi za shule ya computer iliyopo hapa wilayani.
Kilichotokea baada ya hapo wamezipeleka kituo cha polisi nilipo fuatilia kwa undani wahusika walichukuliwa na computer zao wametishiwa kuwa walipe laki tano kila mmoja au wafikishe mahakamani huku mwanamke huyo nilipo jaribu kumhoji kiundani alionekana kutojiamni kwa anacho kifanya.
Wana jamii Ivi ni kosa kimiliki computer ?
Ivi COSOTA wanaruhusiwa kufunga kazi za watu bila ya uhakika wa hizo wanazo ziita haki zao?
Je jeshi la polisi linatambua kazi wanayo fanya?
Bado sakata linaendelea nitawajuza zaidi
Kwa kifupi ni kwamba mwanamke huyo anatembea na zaidi ya askari 5 wakiwa na bunduki na wanachokifanya wakifika mahali wakiona computer wanasema hii computer inakazi zetu bila hata ya kuhakikisha au kukagua wanamlazimisha aliyoko ofisini kubeba computer wanaichukuwa sasa wamechukua hadi za shule ya computer iliyopo hapa wilayani.
Kilichotokea baada ya hapo wamezipeleka kituo cha polisi nilipo fuatilia kwa undani wahusika walichukuliwa na computer zao wametishiwa kuwa walipe laki tano kila mmoja au wafikishe mahakamani huku mwanamke huyo nilipo jaribu kumhoji kiundani alionekana kutojiamni kwa anacho kifanya.
Wana jamii Ivi ni kosa kimiliki computer ?
Ivi COSOTA wanaruhusiwa kufunga kazi za watu bila ya uhakika wa hizo wanazo ziita haki zao?
Je jeshi la polisi linatambua kazi wanayo fanya?
Bado sakata linaendelea nitawajuza zaidi