Little John
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 215
- 66
Inashangaza sana kumsikia mkuu wa nchi akigeuza jumba la Bunge kuwa eneo la mipasho.
Rais anasema yeye ndiye Rais, nasi tunajua hilo, anamtaja makamu na Rais wa Zanzibar, hao wot e tunawajua. Ni wazi anawasema Chadema, eti watake wasitake yeye ndiye Rais. Ni kweli kwa sasa, but ikumbukwe kwamba hakuna marefu yasiokuwa na ncha, ipo siku tu na sio mbali "KITAELEWEKA".
Rais anasema yeye ndiye Rais, nasi tunajua hilo, anamtaja makamu na Rais wa Zanzibar, hao wot e tunawajua. Ni wazi anawasema Chadema, eti watake wasitake yeye ndiye Rais. Ni kweli kwa sasa, but ikumbukwe kwamba hakuna marefu yasiokuwa na ncha, ipo siku tu na sio mbali "KITAELEWEKA".