RUTAGAMBWA
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 516
- 256
Wadau,
Nashangaa roho za watu zinazidi kupoteza bila sababu za msingi na serikali inapiga juu china kuchukua hatua za msingi kulinda raia wake..
Kwann yasiitishwe maandamano inchi mzima kumuunga mkono rais na jitihada zake za kuzuia mauaji Kibiti huku tukilaani mauwaji hayo??
Kwann tusiandamane kwa amani kumuunga mkono rais kwa kazi nzuri anayoifanya huku tukimuomba amuwajibishe Mwigulu Nchemba kwa kushindwa kufanya kazi yake ipasavyo?
Naogopa Sana, Leo mauwaji yameanzia Pwani, kesho na kesho kutwa utasikia yamesambaa inchi mzima..
Inamaana intellinjensia ya inchi hii imepruvu feliya kiasi hicho???
Inauma sana..
Nashangaa roho za watu zinazidi kupoteza bila sababu za msingi na serikali inapiga juu china kuchukua hatua za msingi kulinda raia wake..
Kwann yasiitishwe maandamano inchi mzima kumuunga mkono rais na jitihada zake za kuzuia mauaji Kibiti huku tukilaani mauwaji hayo??
Kwann tusiandamane kwa amani kumuunga mkono rais kwa kazi nzuri anayoifanya huku tukimuomba amuwajibishe Mwigulu Nchemba kwa kushindwa kufanya kazi yake ipasavyo?
Naogopa Sana, Leo mauwaji yameanzia Pwani, kesho na kesho kutwa utasikia yamesambaa inchi mzima..
Inamaana intellinjensia ya inchi hii imepruvu feliya kiasi hicho???
Inauma sana..