KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Tulio watarajia safari zao zimehairishwa! waliokuja ni wageni tuliokuwa hatuwatarajii sasa basi, tukajiandikishe katika daftari la kudumu la wapiga kura ili tuweze kupata fursa ya kuchagua kiongozi tunaye mtaka sisi bila kujali chama chake kwakuwa wameamua lizame tugawane mbao.