nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Sijui itakuwaje maana majuzi kashikia kidedea ile mirathi iende Rwanda badala ya uchagani,kijana yule anayejifanya mtakatifu ana kashfa nyingi tu za upigaji,kuanzia ma mali ya hatari ambayo watu wa kanda ya ziwa hususani mwanza wanayajua hata kijiweni wanayaongelea,kijana ni bingwa wa maigizo kutwa kuhangaika na maigizo kama futuhi huku kazi muhimu zikimshinda maana uwezo huo hana tangu akiwa mtoto yeye ni failure tu darasani
Bahati yake ni kwamba mamlaka huzika imeamua kumbeba kwa nguvu zote inaaminika hata leo akienda pale posta kwenye sanamu la askari na kufyatua risassi akaua mamia ya watu ataambiwa wewe chapa kazi usiwasikilize hao
Kijana huyu inasemekana eti anapandishwa cheo kwenda kuwa naibu katibu mkuu wizarani huko,niwape pole wahusika wa wizara hiyo na waziri muhusika maana watakiona cha moto,wote watakuwa chini ya huyo naibu katibu.
Sasa sijui itakuwaje ile mirathi ya mnyarwanda sijui ataishughulikia hukohuko? ten percent ni muhimu sana,kwake bora iende Rwanda kuliko lile kabila la kule maana kwa mujibu wake yeye mchaga wa maana alikuwa mmoja tu na keshakufa
Bahati yake ni kwamba mamlaka huzika imeamua kumbeba kwa nguvu zote inaaminika hata leo akienda pale posta kwenye sanamu la askari na kufyatua risassi akaua mamia ya watu ataambiwa wewe chapa kazi usiwasikilize hao
Kijana huyu inasemekana eti anapandishwa cheo kwenda kuwa naibu katibu mkuu wizarani huko,niwape pole wahusika wa wizara hiyo na waziri muhusika maana watakiona cha moto,wote watakuwa chini ya huyo naibu katibu.
Sasa sijui itakuwaje ile mirathi ya mnyarwanda sijui ataishughulikia hukohuko? ten percent ni muhimu sana,kwake bora iende Rwanda kuliko lile kabila la kule maana kwa mujibu wake yeye mchaga wa maana alikuwa mmoja tu na keshakufa