Sare za kiume za wanachama wa CHADEMA NA ACT Wazalendo ninyi mnazionaje

Hivi wakuu hizi sare za kiume za hivi vyama ni nani aliwachagulia.

Yaani mkizivaa haziwapendezi hata kidogo yaani.

Mlishindwa kuchagua rangi nzuri ya sare kwaajili ya wanachama wenu.

Hivi hamwoni aibu kuvaa masale kama ya hayo.

Sii bora mngeshona sare hata zinazofanana na jezi za chelse au Arsenal kuliko kutuvalia masale meupe kama mizimu wengine wanatuvalia masale ya rangi ya kjivu kama makombati ya wavuta bangi.

Kwanini msichague sare zenye rangi inayovutia kama ya CCM.

Hivi hamwoni wivu mkiona wanaccm wanavyo tinga sare zinazovutia.

Hivi hamwoni aibu hata vile vitambaa vya wanawake wa CCM.

Kama hujanielewa naomba tutupie sare za ile siku ACT wanamkaribisha mwanachama mpya.

Na zile za Chadema alafu tutupie na za CCM.
Mumeishiwa sera sasa mnajadili mavazi wapumbavu kweli nyie mafisi wa Lumumba
IMG-20191216-WA0001.jpg
 
Rangi mbaya ni za kijani na Njano,
Hivi ww kwa akili yako ya kawaida unaweza kuvaa shati la njano? Ila shati Jeupe ni fashion kabisa,shati la blue ni safi kabisa,tena na suruali nyeusi,
Hebu fikiria uvae shati la njano na suruali ya kijani na mwingine avae shati jeupe na suruali nyeusi nani atapendeza?
Hizo rangi yawezekana ndio zimesababisha kifo cha mpendwa.. maana ndio zilikua rangi za mwisho kuziona.. Tuzikwepe hizo rangi unaweza tangulia mawinguni hivi hivi
 
Hivi wakuu hizi sare za kiume za hivi vyama ni nani aliwachagulia.

Yaani mkizivaa haziwapendezi hata kidogo yaani.

Mlishindwa kuchagua rangi nzuri ya sare kwaajili ya wanachama wenu.

Hivi hamwoni aibu kuvaa masale kama ya hayo.

Sii bora mngeshona sare hata zinazofanana na jezi za chelse au Arsenal kuliko kutuvalia masale meupe kama mizimu wengine wanatuvalia masale ya rangi ya kjivu kama makombati ya wavuta bangi.

Kwanini msichague sare zenye rangi inayovutia kama ya CCM.

Hivi hamwoni wivu mkiona wanaccm wanavyo tinga sare zinazovutia.

Hivi hamwoni aibu hata vile vitambaa vya wanawake wa CCM.

Kama hujanielewa naomba tutupie sare za ile siku ACT wanamkaribisha mwanachama mpya.

Na zile za Chadema alafu tutupie na za CCM.
View attachment 1517468

View attachment 1517469
View attachment 1517470
View attachment 1517471
View attachment 1517472View attachment 1517476
View attachment 1517478
Nikiona rangi za njano na kijani napata diziness
 
Wataruka ruka kuleta sababu nyingine ila mtoa maada umenena ukweli mchungu

Bora chadema wangechagua ile white and blue kwenye ile bendera yao

Yaone yale masweta ya mistari wanayovaa siku hizi hata hayana radha!

Watapinga lakini ukitoa uchama popote pale green ni rangi ya kupendeza, hata mzingira bila ukijani hayana mvuto!.
 
Kweli Siasa ni Brain washing people..., kipaumbele ni nguo gani za chama gani wanapendeza na sio kuhakikisha kila mwananchi angalao ana mavazi (no matter hata kama hapendezi) malazi na chakula......
Mkuu chama bila sare sio chama. Tatizo lako akili zako ni fupi kama wewe.
 
Wataruka ruka kuleta sababu nyingine ila mtoa maada umenena ukweli mchungu

Bora chadema wangechagua ile white and blue kwenye ile bendera yao

Yaone yale masweta ya mistari wanayovaa siku hizi hata hayana radha!

Watapinga lakini ukitoa uchama popote pale green ni rangi ya kupendeza, hata mzingira bila ukijani hayana mvuto!.
Mazingira/mimea ni ya kijani kwa sababu ya chlorophyll ya kusaidia photosynthesis acha uzembe ww
Hebu hapo ulipo vaa suruali ya kijani na shati la njano halafu mwenzako avae shati la blue na suruali nyeusi halafu uone
 
Yaani hizo sare za CCM na rangi zao za kijani+njano zinanikera sana.
Sitaki hata mwanafamilia yangu avae nguo zifananazo na rangi hizo.
 
Mkuu chama bila sare sio chama. Tatizo lako akili zako ni fupi kama wewe.
Kwahio unapima mafanikio ya Chama Cha Siasa kwa Sare ? (Kumbuka tunaongelea Chama Cha Siasa, sio Chama cha wana Fashion Show..), kuna umuhumi gani Chama kuwa na Sare na Kupendeza wakati wanachama / wananchi wao wengi nguo zimepauka ?, au unadhani Ghandhi kuvaa kwake shuka ni kwamba suti zake zililiwa na Panya ?

Mtizamo wa wananchi kama wewe ndio maana wanasiasa wanapeta.., mtu anafurahia maendeleo hana Bima, chakula chake ni bahati nasibu na watoto wake kupata elimu mpaka wabembeleze mkopo (and that is not 100% guaranteed)... I repeat Politics za karne hii ni brainwashing people na propaganda...
 
Back
Top Bottom