johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru huvalia sare za CCM wakati awapo katika majukumu ya kichama lakini katika shughuli za kiserikali au kijamii huvaa mavazi yake ya kawaida.
Katibu wa Uenezi na Itikadi wa CCM komredi Polepole yeye huvaa sare za CCM nyakati zote labda jumapili tu aendapo ibadani. Hii inamaanisha kuwa Polepole huvaa sare za CCM hata katika shughuli za kijamii ikiwemo misiba, harusi, kipaimara, michezo, ngoma na hata kwenye mialiko ya kiserikali.
Najiuliza tu kati ya viongozi hawa wawili ni yupi anazitendea haki sare za CCM?.
Maendeleo hayana vyama!
Katibu wa Uenezi na Itikadi wa CCM komredi Polepole yeye huvaa sare za CCM nyakati zote labda jumapili tu aendapo ibadani. Hii inamaanisha kuwa Polepole huvaa sare za CCM hata katika shughuli za kijamii ikiwemo misiba, harusi, kipaimara, michezo, ngoma na hata kwenye mialiko ya kiserikali.
Najiuliza tu kati ya viongozi hawa wawili ni yupi anazitendea haki sare za CCM?.
Maendeleo hayana vyama!