Sarakasi za Kitila Mkumbo jimboni kwa Mwigulu Nchemba

Kiboko.

JF-Expert Member
Jul 31, 2013
2,891
1,211
Habarini wakuu,

Rejea kichwa cha habari hapo juu ninasikitishwa kuona wasomi tunaowategemea ndo wanakuwa mstari wa mbele kucheza rafu chafu na kukimbia kwenye siasa, hapa nawalenga wote wawili Dr. Mwigulu na Prof. Kitila.

Huko Iramba sasa Kitila anatumia muda wake mwingi kujijenga na kumchafua Mwigulu ili uchaguzi ujao apate nafasi yeye ya kuwawakilisha wana Iramba ilihali Mwigulu naye bado anakubalika na bado anahitaji waongoza wana Iramba.

Rai yangu kwa Kitila, asubiri muda ufike atagombea na mbivu na mbichi zitajulikana, kutumia wanahabari na vijana wa UVCCM haitomsaidia kitu zaidi ya kukichafua chama na kupelekea kulipoteza jimbo. Mwigulu na wewe hakikisha unatimiza yale uliotuahidi wana Iramba.

Ovaaa
 
WAZIRI WA MAJI NA UMWAGILIAJI... 20/25 n.. pr mkumbo hilo halina ubishi na katibu mkuu atakuwa Eng Sanga ambaye sasa ni naibu katibu mkuu.
Na alipewa huo unaibu katibu mkuu ili kuijua wizara mapema hilo halihitaji Ramli au PHD.
Mwiguru ajiandae kuwa mkuu wa mkoa wa Rindi.
 
Nzega iliwahi kuwa na jimbo moja ambapo Bashe na Kigwangala walichuana 2010. Then baadae ligawiwa kuwa majimbo mawili ili kila mmoja apate kipande chake na kuingia mjengoni.
Inavyoonekana ni kama Kitila anakubalika na Mwigulu Lameck bado anakubalika. Sio mbaya mkashawishi jimbo likapigwa pasu, kila mmoja akapata.
 
WAZIRI WA MAJI NA UMWAGILIAJI... 20/25 n.. pr mkumbo hilo halina ubishi na katibu mkuu atakuwa Eng Sanga ambaye sasa ni naibu katibu mkuu.
Na alipewa huo unaibu katibu mkuu ili kuijua wizara mapema hilo halihitaji Ramli au PHD.
Mwiguru ajiandae kuwa mkuu wa mkoa wa Rindi.
Mkoa Wa Rindi uko nchi gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nzega iliwahi kuwa na jimbo moja ambapo Bashe na Kigwangala walichuana 2010. Then baadae ligawiwa kuwa majimbo mawili ili kila mmoja apate kipande chake na kuingia mjengoni.
Inavyoonekana ni kama Kitila anakubalika na Mwigulu Lameck bado anakubalika. Sio mbaya mkashawishi jimbo likapigwa pasu, kila mmoja akapata.
wazo la GT hili, ma greatthinker tumebaki wachache sana humu
 
WAZIRI WA MAJI NA UMWAGILIAJI... 20/25 n.. pr mkumbo hilo halina ubishi na katibu mkuu atakuwa Eng Sanga ambaye sasa ni naibu katibu mkuu.
Na alipewa huo unaibu katibu mkuu ili kuijua wizara mapema hilo halihitaji Ramli au PHD.
Mwiguru ajiandae kuwa mkuu wa mkoa wa Rindi.
Wewe jamaa kuwa na adabu kidogo huku Lindi hatumtaki kabisa kama vipi mtafutieni mkoa mwingine
 
Habarini wakuu,

Rejea kichwa cha habari hapo juu ninasikitishwa kuona wasomi tunaowategemea ndo wanakuwa mstari wa mbele kucheza rafu chafu na kukimbia kwenye siasa, hapa nawalenga wote wawili Dr. Mwigulu na Prof. Kitila.

Huko Iramba sasa Kitila anatumia muda wake mwingi kujijenga na kumchafua Mwigulu ili uchaguzi ujao apate nafasi yeye ya kuwawakilisha wana Iramba ilihali Mwigulu naye bado anakubalika na bado anahitaji waongoza wana Iramba.

Rai yangu kwa Kitila, asubiri muda ufike atagombea na mbivu na mbichi zitajulikana, kutumia wanahabari na vijana wa UVCCM haitomsaidia kitu zaidi ya kukichafua chama na kupelekea kulipoteza jimbo. Mwigulu na wewe hakikisha unatimiza yale uliotuahidi wana Iramba.

Ovaaa
Duh...!. Mkuu Kiboko, kweli wewe kiboko,
yaani unasema wazi professor wetu mzima ambaye ni KM, anapiga sarakasi kwa ajili ya ubunge?. Please no!.
Hakuna jimbo lolote lina hati miliki ya mtu yoyote, kama Kitila Mkumbo kwao ni Iramba na ameona Mwigulu hajafanya chochote, Kitila Mkumbo yuko huru kuwatumikia wana Iramba, na Watanzania maana atapewa uwaziri na atamsaidia sana Magufuli.

Mwigulu ni Mbunge wa huko amefanya nini?. Alikuwa Waziri amefanya nini?.

Usitishe watu kuwa Kitila Mkumbo akiingia atatishia kulipoteza jimbo!, yako makabila yenye misimamo ambayo usipompa mtu wao, jimbo linapotea, very unfortunately Wanyiramba sii miongoni mwa makabila hayo, Mbunge wa Iramba ni yoyote atakayesimamishwa na CCM.

Mwambie Mwigulu asiogope kivuli chake, Kitila Mkumbo ni KM, ubunge ni kitu kidogo sana mbele ya KM, hivyo asiwe na wasiwasi na Kitila Mkumbo ila awe na wasiwasi na wana Iramba wenye uchungu na maendeleo ya Iramba ambayo Mwigulu hajafanya kitu.

By the way, mimi japo ni Msukuma ila ni interested party wa Iramba, Mzee wangu, ameoa mama mdogo Kiomboi na amejenga nyumba mbili za biashara hapo Old Kiomboi, hivyo naweza kuingia CCM, nikaja hapo Kiomboi na kwa Wanyiramba ninavyo wajua, Mwigulu anaweza kusubiri, hivyo usitishe watu hakuna jimbo la mtu!.

P
 
Back
Top Bottom