Awuot
JF-Expert Member
- Nov 10, 2018
- 1,172
- 1,400
Ni hadimu mtaani? itakua matajiri ndo wanazo.Wanayo 5000,ila ni special haitumiwi ovyo ovyo
Ni hadimu mtaani? itakua matajiri ndo wanazo.Wanayo 5000,ila ni special haitumiwi ovyo ovyo
Hahah 😂Mili
Milioni saba
nimeishi kenya miezi 3 sijawahi kuiona hiyo note ya 5000Wanayo 5000,ila ni special haitumiwi ovyo ovyo
Pesa yao iko juu ya ya kwetu sisi tunakaribiana na Uganda. Pesa ikiwa kwenye sarafu maana yake thamani yake ni ndogo kuliko notiKumbe hawana 200 na 500 za sarafu alafu noti yao kubwa ndo hiyo 1000?
Dah hapo wameshanyang'nywa umiliki Wa shilingi yao bila kujua,kwa sasa ni ngumu kuelewa,
Haipo mtaani,inatumika sehemu maalumu tunimeishi kenya miezi 3 sijawahi kuiona hiyo note ya 5000
Dola 100 tsh 230000Hiyo coin ya shilingi moja inanunua nini hapo kenya?
Je thamani ya ksh ni uthibitisho wa uimara wa uchumi wa Kenya?Uzuri wa sarafu yoyote ile ni kwenye thamani yake tu, hongera zao naona wenzetu noti kubwa ni 1000, sijui sawa na shilingi ngapi za Tanzania kwa mnaojua.
Umepanic mkuuSio lazima kila mtu ajue wewe mjinga.!
Ngoja waje wataalamu wa uchumi, ila naamini nguvu ya sarafu inachangiwa na uchumi wa nchi husika ndio maana unavyoporomoka na sarafu ya nchi husika lazima iporomoke......sijawahi kusikia nchi inaporomoka uchumi halafu sarafu yake inapanda.Je thamani ya ksh ni uthibitisho wa uimara wa uchumi wa Kenya?
unajua yote Haya ni majina tu
Ukichunguza kwa Sana utagundua thamani ni moja kwa mfano kiatu utachonunua tz kwa 25,000 Kenya ukakipata kwa 1100 Na Washington ukakipata kwa dola 10 Na India ukakipata kwa rupia 700 utagundua kuwa ni sawa kwa thamani wala hakuna tofauti
Nimeishi Kenya Maisha yangu yote, na sijawai sikia wala kuiona hyo noti ya 5000, hadi leo. Its not there . 1000 ndiyo sarafu kubwa Zaidi ya yote.nimeishi kenya miezi 3 sijawahi kuiona hiyo note ya 5000
Acha ujinga ml7?Mili
Milioni saba
Kwani Kenya hakuna Twiga au uliambiwa wapo TZ pekeyake. Hiyo siyo Tanzanite mkuuHee! Kenya ni majizi kweli. Embu ona! Wameshaiba Twiga wetu!
1985-88 nikiwa sm nilikuwa maarufu Sana shuleni kuwa na hela. Nilikuwa nikifanya vibarua vya kubeba tofali, mchanga na kuosha magari. Hiyo thumni unanunua andazi la kutengenezwa kwa mchanganyo wa ndizi mbivu na unga aka vimbama na viazi vitamu kwa sent 10@. Ilikuwa Poa Sana. Ukipewa gwala umenunua dagaa, mafuta, kitunguu na mafuta ya taa 1986. Siku hz hatareeeesisi zetu ziko makumbusho Hongereni sana nguvu ya pesa yenu inajulikana miaka yote , nitawatania mengine sio kwenye nguvu ya pesa yenu.View attachment 964324