East African
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 704
- 989
Baada ya kutangazwa kwa wajumbe 201 wa bunge maalum la katiba napendekeza wabunge hao wamchague Mh, Sitta kuwa Mwenyekiti kwa kuwa alionesha kulimudu vyema bunge la JMT haswa katika mambo yenye maslahi ya taifa.
Natoa rai yangu kwa wajumbe wote 600 wasije chagua watu watakaopokea maelekezo kutoka serikalini. Katiba hii ni yetu na inahitaji mtu anayeona mbali na wala haongozwi na chama wala serikali.
Karibuni nanyi mpendekeze. Ni mdahalo wa wazi utakaowaongoza wajumbe kupata Mwenyekiti mwenye uwezo wa kulimudu bunge vyema, tusije pata watu kama akina Ndugai waliotawaliwa na usdhabiki na Jaziba.
NB tungepata mtu asiye na chama ingekuwa bora ila sidhani kama watakubali kumchagua mtu asiye na chama chochote cha siasa. hasa nje ya CCM
Natoa rai yangu kwa wajumbe wote 600 wasije chagua watu watakaopokea maelekezo kutoka serikalini. Katiba hii ni yetu na inahitaji mtu anayeona mbali na wala haongozwi na chama wala serikali.
Karibuni nanyi mpendekeze. Ni mdahalo wa wazi utakaowaongoza wajumbe kupata Mwenyekiti mwenye uwezo wa kulimudu bunge vyema, tusije pata watu kama akina Ndugai waliotawaliwa na usdhabiki na Jaziba.
NB tungepata mtu asiye na chama ingekuwa bora ila sidhani kama watakubali kumchagua mtu asiye na chama chochote cha siasa. hasa nje ya CCM