King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,643
- 68,591
M4c with no apology.
Tusisikilize propaganda kuwa CHADEMA hatuna viongozi wa kutosha kuendesha nchi. TUMEVUMILIA sana TUMECHOKA na sasa tunataka KUSONGA MBELE, na tusirudi nyuma KAMWE. M4C
From his PRESIDENT facebook wall
Six ni mnafiki kama Zitto hana lolote!!
Nimuonee kwani yupo uchi?? mnafiki Vijana wanakufa haongei chochote, kisa kuikosoa serikali? wakati huo huo anajidai kuwa ni mpigania haki za vijana eti atawaunganisha... wanakufa kimiaa no tweter, FB or JF kulaani anasupport MNAFIKI MKUBWA.usimwonee ZZK
Lakini ni ukweli uliowazi kabisa kuwa,CDM bado ni chama chenye viongozi wachache sana wenye uwezo mkubwa.Mathalani chukulia kwa mfano leo hii ukiwatoa Doctor,Tundu Lissu,Mbowe,Mnyika na zitto chadema itakuwa na uhai?.Tuacheni ushabiki yatupasa wananchi kukubaliana na Sitta
Lakini ni ukweli uliowazi kabisa kuwa,CDM bado ni chama chenye viongozi wachache sana wenye uwezo mkubwa.Mathalani chukulia kwa mfano leo hii ukiwatoa Doctor,Tundu Lissu,Mbowe,Mnyika na zitto chadema itakuwa na uhai?.Tuacheni ushabiki yatupasa wananchi kukubaliana na Sitta
Six ni Mnafiki!! Aulizwe aweke Hadharani Muafaka wa Richmond / Dowans, Kwa Kupenda madaraka aliufanya mjadala ukawa soft akitegemea Huruma ya Kuendelea na Uspika 2010 to 2015!! Ila haikumsaidia kwani majeraha aliyowaachia mafisadi yalikuwa bado Kupona!! Hivyo Hana Jipya
Lakini ni ukweli uliowazi kabisa kuwa,CDM bado ni chama chenye viongozi wachache sana wenye uwezo mkubwa.Mathalani chukulia kwa mfano leo hii ukiwatoa Doctor,Tundu Lissu,Mbowe,Mnyika na zitto chadema itakuwa na uhai?.Tuacheni ushabiki yatupasa wananchi kukubaliana na Sitta