MKWECHE
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 299
- 64
Baada ya CCM na Baadhi ya Viongozi wake,Wakiwamo wabunge Kubeza Maandamano ya Amani ya CDM, Nao yamewakuta,nao wanaibukia mbeya kufanya maandamano makubwa yatakayoongozwa na Sitta.
Swala langu Je?Maandamano ya wale ni Uvunjifu wa Amani na Yetu Je?
Ni kazi kweli kweli!
Swala langu Je?Maandamano ya wale ni Uvunjifu wa Amani na Yetu Je?
Ni kazi kweli kweli!