Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Naona Mzee Six la kwake limeiva na vifaa tayari vipo thieta anasubiri kupelekwa tu na kutumbuliwa!Sitta alipita hiyo wizara ilikuwa ni business as usual alafu leo anaongea nini sijui. Kusimamisha mtu kupisha uchunguzi kuna ubaya gani kama kitu kipo sawa uchunguzi utajieleza. Sitta anafahamika kwa vinyongo bado hakubali kuwa waliyemchukulia poa sasa ndio rais.