hapo kweli anawaongelea akima E Lanasema wahujumu uchumi ambao walipigwa vita enzi ya mwalimu hivi sasa ndio wanaoheshimika na kupewa nafasi na hata kupata heshima kubwa zaidi, taifa limepoteza ile misingi aliyoanzisha mwalimu
Please update us, tungependa kujua kaongelea nini.
Waziri Samwel Sitta atakuwa live Mlimani TV muda mfupi kutoka sasa. Hebu wanaJF tumuulize yale maswali magumu ambayo tumekuwa tunaulizana hapa huenda atatujibu live leo
Invisibo kwani huna TV huko Nyumbani kwako mpaka uhadisiwe?
mara nyingi huyu babu anayoyaongea huwa hamaanishi, in short ni MNAFIKIanasema wahujumu uchumi ambao walipigwa vita enzi ya mwalimu hivi sasa ndio wanaoheshimika na kupewa nafasi na hata kupata heshima kubwa zaidi, taifa limepoteza ile misingi aliyoanzisha mwalimu