pmwasyoke
JF-Expert Member
- May 27, 2010
- 4,590
- 2,976
Kulikuwa na haraka gani kwa jeshi la polisi kutoa taarifa yao?
Ofcourse kuwasafisha watoa sumu
Kulikuwa na haraka gani kwa jeshi la polisi kutoa taarifa yao?
Ohooo!!! wewe endelea kujificha atakutaja kwa jina $#@%%% wee!!!!na mimi nasisitiza samwel sita kamnywesha sumu mwakyembe maana ndo mtu pekee anaeweza kumfikia na rahisi kupewa sumu akampa
Huyo kanjanja mwingine, hakuna hata kipengele kimoja kinacho mnukuu Sitta katika uandishi wake, hayo ni maoni ya huyu tu, hawa waandishi makanjanja wanatupeleka wapi?
wewe mtanzania au mkenya? Huwajui mafisadi
6 Ni mbabaishaji tu.
Kama huyu ni kanjanja wewe ni mdau wa mfumo wa kimafia unaolalmikiwa?Huyo kanjanja mwingine, hakuna hata kipengele kimoja kinacho mnukuu Sitta katika uandishi wake, hayo ni maoni ya huyu tu, hawa waandishi makanjanja wanatupeleka wapi?
Fisadi ni mtu anayetumia cheo chake kufuja mali ya umma kwa manufaa yake au kikundi fulani ,Na sitta naye ni miongoni mwa mafisadi kwa sababi zifuatazo:
1.Kujenga ofisi ya Bunge Urambo kwa mabilion ya fedha za kodi yetu
2.Kufoji risit za matibabu
3.Kudanganya kuwa pango la nyumba ni dola 7000 kwa mwezi alikuwa anaishi .......
Alafu kumbe hata uchimbaji wa uranium watu washavuta zao,maana nasikia ni madini hatari sana na hayapaswi kuchimbwa kiholela,usa wanayo lakini wanaogopa kuyachimba ili kuwanusuru wananchi wao,vp sisi waswahili tumekubali kirahisi namna hii????????????,
sijawahi sikia lowasa akipinga mafisadi! Ila yeye anakana kuwa si fisadi
hawezi kukemea huenda huyo jamaa anahusika na hao majambazi anaowataja sita......alilishutumu jeshi la polisi kutokana na tabia ya kuhujumu watu na kusisitiza kuwa tabia hizo ni za kijambazi zinazoweza kuhatarisha hali ya usalama na maisha ya watu wanaozuliwa mashitaka kama hayo yanayomkabili.
Mwenzao Satta wa Zambia alianzisha chama huwezi kupigana vita ukiwa humo na mafisadi huku ukiwa unfaidi viposho pamoja nao.....mnafiki tu. aondoke CCM! au ashiriki kwa namna yoyote ile kuia CCM maana ndiyo hasa nyumba ya mafisadi.
Hivi hawa mafisadi wanaosemwa kila siku hawana majina? Maana kila siku tunamsikia mafisadi wanaimaliza nchi ni akina nani hao. Kufichaficha kwao kutawafanya nao waonekane kuwa nao ni mafisadi.