yaap nimekupata, uwoga unatucost sana watanzaniaKwa jinsi hatutakaa tuikomboe nchi yetu kutoka kwenye udhalimu unapotamka mafisadi unagenelize na wataendelea kufanya huo ufisadi. Inatakiwa itamkwe wazi pamoja na majina yao kama ni Lowasa atamkwe kwa jina lake kama ni Chenge atamkwe kwa jina.
Uoga wa nini watajwe kwa majina watanzania wawajue