nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
wewe mtanzania au mkenya? Huwajui mafisadi
Kwa jinsi hatutakaa tuikomboe nchi yetu kutoka kwenye udhalimu unapotamka mafisadi unagenelize na wataendelea kufanya huo ufisadi. Inatakiwa itamkwe wazi pamoja na majina yao kama ni Lowasa atamkwe kwa jina lake kama ni Chenge atamkwe kwa jina.
Uoga wa nini watajwe kwa majina watanzania wawajue