johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,886
- 141,818
- Thread starter
- #21
1.Wakati Nape anaondoa bunge live sikukubaliana nayeKujibu swali lako unaonaje tuanze na haya mawili
1) ulikuwa upande gani wakati bunge live likiondolewa?
2)Una amini kuwa Magufuli anaingilia bunge?
2.Rais Magufuli haingilii bunge ila wabunge wengi wanatamani kufanya kazi serikalini kama mawaziri so wanajitahidi kujiweka jirani na Rais!