mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,022
- 35,803
sitta anawajua vizuri wenzake lakini kwa hili kachemka ccm ni kama mtumiaji wa mpira wa kiume mpira ukitumika tu unatupwa ,hakika watamtupa kazi yake imekwisha,huyu yupo tayari kufanya lolote kutimiza azma yake ndio maana ccm walisema wanataka spika mwanamke wakijua huo ni mtihani kwake hawezi kubadili jinsia